Je, ni kwanini ubongo haujai kama Flash Disk?

Je, ni kwanini ubongo haujai kama Flash Disk?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Nilitegemea binadamu baada ya kurekodi matukio ya maisha yake kwa muda wa miezi kadhaa basi ubongo wake ujae, lakini cha ajabu na cha kushangaza, mtu anafika hadi miaka 100 ila anakumbuka matukio yote ya utotoni.

Sasa naomba kujua, ni mechanism ipi inayotumika kwenye ubungi kiasi unashindwa kujaa, hii inaweza kutusaidia kuunda Hard Disk Drives zisizo jaa hata uweke series mwaka mzima.
 
Ubongo una partition 3
1)Conscious part
2)Subconscious part
3)Unconscious part
Hizi ni sehemu za kutunza memories ktk ubongo kutokana na umuhimu wake katika maisha tunayopitia
Kuna taarifa za muhimu sana ,zingine za kawaida na zingine sio samuhimu ndiyo maana unakuta haijai
La mwisho ni matumizi wa kuzichakata hizo taarifa ili zizal8shwe zingine pia kuna process yake pia ndiyo unakita unazeeka eti umetumia 20% ya ubongo wako kitu ambacho sio vizuri
 
Nikikwambia hili, utashangaa sana, kwamba:-

Flashdisk pia haijai....

Na ndio maana, baada ya kufuta files kwenye flash (permanent delete), unaweza ukazi recover tena!

Je zinatoka wapi na wakati ulizifuta mazima?

....

Googol ni namba inayoanzia na moja na kufuatia na 0 mia moja.

Waanzilishi waliiita Google kimakosa badala ya Googol.

Lengo lilikuwa ni kutengeneza search engine itakayoweza kusearch na kuleta majibu kwa idadi hiyo (mengi sana), na kwa kweli wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.

Hivyo mkuu nakushauri, nenda ka google swali lako, na utapata majibu kutoka kwa wabobezi.

[emoji16]
 
Waafrika ubongo utajaa vip wakati muda wote wapo na habari zile zile za mapenzi na Mwijaku kasema nini tungekua tunaumiza kichwa kufikiri kuzalisha umeme hata nyumbani kwako mbona vichwa vinge stack Waafrika wengi mpaka kifo kinatuchukua Memory ya Ubongo ni mpya kabisaa wala haijatumika ndio maana Nchi zilizoendelea wanafanya biashara sana ya Viungo vya binadamu hasa kwa vifo visivyotokana na magonjwa...
 
Memory ya Ubongo ni kubwa mno kiasi kwamba kuujaza ni kazi ngumu


Screenshot_20230518-213134.png
 
Nikikwambia hili, utashangaa sana, kwamba:-

Flashdisk pia haijai....

Na ndio maana, baada ya kufuta files kwenye flash (permanent delete), unaweza ukazi recover tena!

Je zinatoka wapi na wakati ulizifuta mazima?

....

Googol ni namba inayoanzia na moja na kufuatia na 0 mia moja.

Waanzilishi waliiita Google kimakosa badala ya Googol.

Lengo lilikuwa ni kutengeneza search engine itakayoweza kusearch na kuleta majibu kwa idadi hiyo (mengi sana), na kwa kweli wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.

Hivyo mkuu nakushauri, nenda ka google swali lako, na utapata majibu kutoka kwa wabobezi.

[emoji16]
Ukifuta material kwenye flash disk hautaweza ku recover zote

Halafu ni ushamba mtu anauliza swali inamuambia aende Google, kwani huko Google inatoa kwenye mitandao mbalimbali kama JF, so watu inabidi waweke content mpya Mtandaoni kwa lugha tofauti ili hiyo Google iendelee kuwa na majibu mengi kwa watu wa lugha zote
 
Ubongo huwa unapunguza baadhi vitu visivyo na umhimu/intensity Sana , hata hayo unayosema matukio sio yote utayakumbuka unless liwe na intensity flan.

Matukio ambayo yako intense Sana yakiwa mengi saana Yale matukio ambayo hayana intensity yanapotea.

Ndio maana nikikwambia mwaka Jana tarehe 5/04/2022 uliamka ukafanya hivi na hivi Nika kwambia unisimulie matukio yanayofuata baada ya hapo huto weza kunisimulia. Lakini nikikuomba kuomba unisimulie matukio ya siku let say ya msiba wa JPM , Au msiba wa rafiki yako , au siku ya harusi yako unauwezo wa kusimulia vizuri kwa sababu ya intensity ya matukio.

Hivyo ndivyo ubongo unavyo hifadhi na kupunguza taarifa .

Note: Yapo matukio yanayo hifadhiwa temporarily tu yanapotea lkn mengine Ni permanently
 
Nikikwambia hili, utashangaa sana, kwamba:-

Flashdisk pia haijai....

Na ndio maana, baada ya kufuta files kwenye flash (permanent delete), unaweza ukazi recover tena!

Je zinatoka wapi na wakati ulizifuta mazima?

....

Googol ni namba inayoanzia na moja na kufuatia na 0 mia moja.

Waanzilishi waliiita Google kimakosa badala ya Googol.

Lengo lilikuwa ni kutengeneza search engine itakayoweza kusearch na kuleta majibu kwa idadi hiyo (mengi sana), na kwa kweli wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.

Hivyo mkuu nakushauri, nenda ka google swali lako, na utapata majibu kutoka kwa wabobezi.

[emoji16]
Well, ukifuta kwa mara ya kwanza kunabaki na mirror image ya kile ulichofuta , hivyo unaweza kurecover files, lakini ukisha-overwrite juu yake, huwezi kurecover tena
 
Back
Top Bottom