Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Kwa sasa Utajiri wa nchi na wafanyabiashara wakubwa na wanaotambulika RASMI upo chini ya wasomali, wahindi na waarabu!
Rarely au hakuna kabisa kumkuta Mtanzania amepenya hapa.
Kama Mtanzania akifanikiwa kuwekeza na akafika angle fulani ya kuwa na UTAJIRI RASMI kisha ikitokea amefariki, basi kwa asimilia kubwa habari ndio imeishia hapo; hii ni tofauti na wenzetu wahindi, waarabu na wasomali?
Shida huwa ni nini?
Kwa mfano, Kuna kipindi the Late Reginald, alikuwa na utajiri unatambulika Rasmi, baada ya kifo chake habari ya Utajiri iliishia hapo.
Kilichofuata ni kushinda mahakamani, familia kutishiana uhai, mali za MENGI nyingi sana zimeshanunuliwa ikiwemo maji ya kilimanjaro na kwa sasa ITV ipo kwenye final stage ya kupigwa sale, mnunuzi anaweza kuwa bakhresa na hato badili jina kama ilivyokuwa kwa maji ya KILIMANJARO. Kwa sasa maji ya Kilimanjaro unanunua kwa 500 yale lita moja.
Reginald is like he never existed ? Hii kitu ni ngumu kwa wasomali, waarabu na wahindi they have what it called CONTINUITY!
Je, sisi ngozi NYEUSI shida ni nini?
Tupeane mawazo, tunakwama wapi kwenye business CONTINUITY.
Kwanini NGOZI nyeusi mtoto anaanzia chini , baba anaanzia chini, mjukuu anaanzia chini. wanaanzia chini, while kwa Wasomali, Waarabu na Wahindi, watoto wanaanzia alipoishia baba. Wajukuu nao wananzia alipoishia baba ….. list goes on
What is wrong with us?
Rarely au hakuna kabisa kumkuta Mtanzania amepenya hapa.
Kama Mtanzania akifanikiwa kuwekeza na akafika angle fulani ya kuwa na UTAJIRI RASMI kisha ikitokea amefariki, basi kwa asimilia kubwa habari ndio imeishia hapo; hii ni tofauti na wenzetu wahindi, waarabu na wasomali?
Shida huwa ni nini?
Kwa mfano, Kuna kipindi the Late Reginald, alikuwa na utajiri unatambulika Rasmi, baada ya kifo chake habari ya Utajiri iliishia hapo.
Kilichofuata ni kushinda mahakamani, familia kutishiana uhai, mali za MENGI nyingi sana zimeshanunuliwa ikiwemo maji ya kilimanjaro na kwa sasa ITV ipo kwenye final stage ya kupigwa sale, mnunuzi anaweza kuwa bakhresa na hato badili jina kama ilivyokuwa kwa maji ya KILIMANJARO. Kwa sasa maji ya Kilimanjaro unanunua kwa 500 yale lita moja.
Reginald is like he never existed ? Hii kitu ni ngumu kwa wasomali, waarabu na wahindi they have what it called CONTINUITY!
Je, sisi ngozi NYEUSI shida ni nini?
Tupeane mawazo, tunakwama wapi kwenye business CONTINUITY.
Kwanini NGOZI nyeusi mtoto anaanzia chini , baba anaanzia chini, mjukuu anaanzia chini. wanaanzia chini, while kwa Wasomali, Waarabu na Wahindi, watoto wanaanzia alipoishia baba. Wajukuu nao wananzia alipoishia baba ….. list goes on
What is wrong with us?