FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
HahahaNajiuliza, kama himaya fulani inajiita nchi, ina Rais, nk.
Ni kwanini haina sarafu yake?
Ni kwanini zanzibar wana mamlaka ya mapato?
Zanzibar hawana mamlaka ya mapato wana Revenue board inadeal na tozo zingine. TRA ipo kule inadeal na hiyo no.10 na ndiko alikochomolewa Yusuph na kuletwa kuwa CG wa TRA.Ni kwanini zanzibar wana mamlaka ya mapato?
Ni kwanini Zanzibar wana katiba yao? Kwanini ajira za Zanzibar zinahitaji mtu awe Mzanzibari na sio MTanzania?Zanzibar hawana mamlaka ya mapato wana Revenue board inadeal na tozo zingine. TRA ipo kule inadeal na hiyo no.10 na ndiko alikochomolewa Yusuph na kuletwa kuwa CG wa TRA.