N Nyamongo kwao Member Joined Jan 1, 2013 Posts 48 Reaction score 4 Oct 1, 2013 #1 Wanajf ni kweli kuna mchawi? Eti ukirogwa unaugua ?
Mwl.RCT JF-Expert Member Joined Jul 23, 2013 Posts 14,624 Reaction score 20,666 Oct 2, 2013 #2 Yap ni kweli kuna mchawi. Na ni kweli ukilogwa waweza ugua. Kuzulika au kutozulika na uchawi yategemeana na imani yako. Je hujawahi sikia simulizi za maswala ya uchawi?.
Yap ni kweli kuna mchawi. Na ni kweli ukilogwa waweza ugua. Kuzulika au kutozulika na uchawi yategemeana na imani yako. Je hujawahi sikia simulizi za maswala ya uchawi?.