Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!


Akhsante!.
 

Nakushukuru Mkuu, umeongea vizuri. Nashangaa kwanini kwako sehemu ya kulike haipo!.
 
Last edited by a moderator:
ASANTE KUSHUKURU. Ningejua taaluma yako ningekupa connection ya kazi za consultancy. Usianze kutafuta kazi nyingine. utaajiriwa sehemu itabidi usaini ukiingia na kutoka, muda wako utatawaliwa, utapewa dola nyingi lakini utakuwa mtumwa.
kila kitu na wakati wake, tulia hapo ulipo ualimu una heshima yake. Pesa zitakuja tu usiwe na haraka. TRUST ME
 

Wambie CHADEMA wakupe pesa walizochangisha pale Jangwani, au wakuunganishe na Sabodo.
 
mkuu punguza munkari hata mm niko machimboni lakini baada ya digrii ya kwanza nlifaya kazi kwa muda
ndo nikaenda kusoma tena na sasa nasoma tena lkn sijutii kuwa nimeachwa sana
cha msingi tumia elimu uliyo nayo kutafuta kipato zaidi unaweza kutafuta part time job
vyuo viko vingi kwa sasa vinahitaji walimu wa masaa
pili kuwa mbunifu wa kuandika proposals mbalimbali utapata research za kufanya mbona ziko nyingi tu
inategemea una phd ya kitu gani lkn jitahidi
vipi ukiwa nje hukubeba box au ulileta ubrazameni? nijuavo ukibeba box kwa 3 years ungeweza kufanya
mambo makubwa zaidi ya hao unajotia wamekupita.
 
GPA haina kazi yoyote kwenye kufanyakazi..watu tuna GPA ndogo kama punje ya ulezi lakini tunapiga kazi bab kubwa town hapa acha kabisa walio na ma GPA makubwa kutwa wanatupiga virungu kuomba vocha..tushafahamiana???
 
GPA haina kazi yoyote kwenye kufanyakazi..watu tuna GPA ndogo kama punje ya ulezi lakini tunapiga kazi bab kubwa town hapa acha kabisa walio na ma GPA makubwa kutwa wanatupiga virungu kuomba vocha..tushafahamiana???

Kwahiyo soln ni kuamua kupata GPA ndogo kama punje!!.
 
Kwanza hongera kwa hatua hiyo ya kielimu uliyofikia,pia nikupe pole kwa changamoto unazopitia kwani hata mimi yamenikuta,
mimi nilianza kazi ya ualimu mwaka 2005 kama mwalimu shule ya msingi,
nikajiendeleza na kuhitimu shahada yangu mwaka jana august pale duce,
kwa sasa nimerudi kazini ila mwajiri kanipa u-head teacher primary, halafu nikijiangalia sina hata usafiri wa kuendea kazini na sina hata asseti yoyote zaid ya vitu vichache vya ndani,
ila hapa kuna walimu ni form four na cheti ndio ma head teacher, wana nyumba, usafiri ,yaani mpaka nashindwa kuelewa nini maana ya hii elimu niliyoitafta kwa speed na kwa matumaini makubwa,
 

Pole sana mwenzangu, Labda cha kujiuliza wanaposema 'Elimu ni ufunguo wa Maisha' hii Elimu inayomaanishwa hapa ni Elimu ya namna/kiwango gani!!. Mi nadhani ni elimu ya kujumlisha na kutoa tu!, zaidi ya hapo ni kupoteza muda tu!!.
 

hivi mkuu unaamini kuwa huyu ndugu ana PHD sasa?, mbona maelezo yake yanaelea? ninaamini hana PHD, kama anayo basi hakuisoma yeye,alifanyiwa na mtu
 

Mkuu achana na mtoa maada, hiki ni kimeo , anayoyasema hapa siyo ndivyo yalivyo, wewe unakubaliuko chimbo sawa, sema ukweli wako ni sahihi mtu kama huyu kudai ana phd halafu analaumu GPA yake ya bachelor degree? ni kweli amepita kwenye tunnel ya master na PHD huyu?. huyu mtoa maada hana lolote. aidha wewe mkuu unajua unapata kiasi gani kwa sasa, unajua hao wanaosemwa wanatembea na vibahasha maisha yao yakoje, sasa hushangai huyu jamaa malalamiko yake yanatoka wapi?

watu wa aina hii ni wavivu, wape kazi yoyote kwa malipo makubwa kiasi gani wanaishia kulalamika tu. ukitaka kujua anamatatizo mwone anavyoiabudu GPA badala ya kufanya kazi, kweli GPA manake mshahara mkubwa? au maisha bora?

tujifunze kutumia elimu ktk kuendesha maisha na siyo kutumia certificates kuendesha maisha
 

Pasco

Yesterday 14:46
#11
JF Premium Member
Array


Join Date : 22nd September 2008
Posts : 6,889
Rep Power : 0
Likes Received2939
Likes Given7349


[h=2]
Re: Nafasi za Kazi DFID na Ubalozi wa Uingereza: Mshahara kuanzia Milioni 4!.[/h]
Na kwa kuwasaidia tuu wasiojua, mshahara huo ndio mshahara wa mahaji wa Mahakama Kuu ya Rufani na mawaziri wetu na makatibu wakuuu. Ma DC wanalipwa M.2 sambamba na wakurugenzi na wahadhiri wa vyuo vyetu vikuu!. Ma RC wanalipwa M.3 sambamba na majaji wa Mahakama Kuu na manaibu makatibu wakuu na manaibu mawaziri!.

Tukubali tukatae M. 8 Ni pesa ndefu!. AFDB watu wanavuta M.30! per month hapa hapa bongo!.

Angalizo: Money is not everything, job satisfaction ndio mambo yote ndio maana nilipomaliza contract yangu waliomba nirenew nikakataa na sasa nasaga lami na kula vumbi mitaani!. Just do what you love hata kama unapata nothing na sio kukimbilia top paying job that makes millions na kuishia kuwa miserable mtumwa!.

If big money makes you happy, go for it, if you prefer freedom, then think twice!.​



  • kama wewe ni mtanzania na ni PHD holder usingelialia kwa ku pitia GPA wakati una PHD, aidha pasco ameandika wenzako wanacholipwa , sasa kama hata hicho umeshindwa kukimanage kikakupa heshima , unataka heshima akupe nani?., PHD holder unazungumzia madili bila kujua madili nini nini?. unastahili kupata maisha magumu kwakuwa umesoma lakini hujaelimika. aidha wewe ni hatali kubwa hapo unapofundisha kwani hufanani na hiyo kazi
 

Sidhani kama umeelewa nilichomaanisha!! unasoma ukiwa baa nini!!.
 

Mi hatari kiasi gani ndugu!! wakati mwingine bora kusema ukweli kuliko kuumia tu moyoni, Ni elimu gani nitakayoweza kuitoa vizuri kwa wanafunzi wangu, wakati sina uwezo wa kukabiliana na majumu ambayo ninayo kila siku, sina uwezo wa kuwapeleka watoto wangu shule nzuri. Sina..... sina.... sina..... darani wanafunzi 200 mpaka 500 uwahudumie vizuri, sivyo hivyo unavyofikiria ndungu. Usione wahadhiri wanatembea ukadhani mambo yao safi. Ungekuwa kwenye hiki kiatu ungeelewa kama ni cha size gani!!. Kama nimekukera kusema kilicho moyoni mwangu basi we mezea tu. Lakini huo ndio ukweli. Na nakwambia utakuwa shahidi baada ya miaka michache vyuo vyetu vinaweza visiwe na walimu tena kama hiyo serikali yako haitachukua maamuzi ya busara.
 
kwa kifupi jamani, lazima mtofautishe maProf. na maDr. wa zamani enzi zao wakati wanaanza kazi mambo yalikuwa ni mazuri, kwahiyo waliweza kufanya investments mbali mbali na ndio hao mnaowaona nyie kwamba ni mambo safi. Lakini sisi tunaoibukia sasa hali ni ngumu, ngumu tena ngumu sana (ielweke hivyo)!. Kipato na majukumu ambayo tunayo hayafanani kabisa, yani kushoto na kulia kabisa. Zamani walikuwa na madarasa yenye wanafunzi 20 mpaka 40. sasa madarasa yana wanafunzi mpaka 500. huo muda wa mambo mengine utautoa wapi!!. Hebu tujaribui kutofautisha wa zamani na sisi vijana tunaoibukia!!.
 

like,like,like !!
 
Brother, najaribu kujiweka kwenye shoes zako.....nahisi kimsingi hujasomea kitu unachokipenda bali ni yale mambo ya nafasi za uchina/asia na eastern europe.....mwisho wa siku unamaliza unagundua hiyo elimu kwako sio mafanikio....lakini yaliyopita si ndwele.......chakufanya hapo ni kuitumia hiyo PhD kama vile kufanya consultancy, ku-partner na watu wenye pesa kuanzisha biashara...wewe unajina na taaluma unaweza kuuza jina kupata mafanikio......

Vile vile unaweza kuamua kwenda nchi ambazo ualimu unalipa ukapata pesa nzuri kama mdau alivyoshauri hapo juu........lakini pia ukiwa makini hao waliokutangulia unaweza kuwakuta na kuwapita..........

hatujui taaluma yako lakini pia unaweza kuanzisha kampuni yako kutokana na taaluma kwasababu ninavyojua ualimu wa chuo haubani sana.......kimsingi maisha ni jinsi uyaonavyo......kuhusu GPA sidhani kama ili kuponza...isipokuwa desperation na hali ya insecurity watu wana yokuwa nayo wakimaliza chuo huamua kuchukua the first offer....wachache wanaotulia na kufikiri nini hasa cha kufanya.........
 

unayoyasema ni kweli kabisa
wahadhili wengi wanaamini wanaakili zaidi ya watu wengine kwakuwa walipata GPA kubwa. ndo maana wakisha pata PHD zao wanadhani watakula bure- hakuna hiyo. pia wakumbuke hizo research opportunities and funding zipo mikononi mwa watu waliopata GPA za chini , sasa kwakuwa wahadhili hawa feki wanaona kushirikiana na watu wa GPA ya chini watadhalilisha PHD zao hawatoi ushirikiano na mwisho wanasema hakuna research au hakuna pesa.

suala la mtu kusema anawafunzi wengi darasani, hiyo ndo kazi yake, hapo ndo aonyeshe uwezo wake na siyo kulalamika tu. eti wanafunzi 500 ni wengi, na hii PHD aliipataje?.
wahadhili waache kulalamika , either watafute mabadiliko huko ndani ya vyuo vyao, au waache kazi watafute nyingine nje ya kufundisha wakafanye, lakini ninachafahamu hata wakija huku mtaani , hawa jamaa watashindwa ku cope kutokana na mitazamo yao ya ajabu ajabu
 
Sidhani kama umeelewa nilichomaanisha!! unasoma ukiwa baa nini!!.

Lecturer, kama ambavyo umekuwa mvivu wa kuchukua ushauri huu,ndiyo utaendelea kuona kazi yako haikulipi,

nakushauri tena, achana na hiyo kazi ya kufundisha , karibu huku mtaana. angalizo, kabla hujaacha hakikisha upotayari kwa changamoto za huku mtaani, kwakuwa hata hizo kitu unaita dili haziletwi tu kiulaini kama hii hewa tunayovuta hapa duniani ambayo Mungu anatupatie bure bila kuumiza vichwa vyetu kuitafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…