Je ni kweli hakuna wa peke yako?

mbona ukimwi kwa wazungu hamna kama kwetu???this shows nani haswaaa ndio wachafu wa kutimba timba lol,kongosho hauna kaka mzungu uniunganishe naye?lol

Unatafuta mzungu Nee?
 
Waaminifu mimi naamini wapo tena wengi tu,wala huna haja ya kuvunjika moyo na nimewaona.

Wewe usibadilishe msimamo wako kwa kuwa eti wengi wanasema.

Hata Mungu alipo angamiza dunia yote,bado kina Nuhu na kina Lutu walikuwepo.
 
duh, yaani mimi huyo mtu wala sijawahi mwongelea
anaishi mars
ninaishi pluto

ila kama ndo anawajaza takataka watoto wetu
na apotelee katika miish ya dunia

Kwa jina la yesu Mange ashindwe na kulegea.
 
Hutofautiani na mkuu wako aliyesema watoto wa shule za msingi kupata mimba ni kiherehere chao

maliza la saba tuje tufanye research ya mambo ya ukimwi japo upate mwanga kidogo

ila uje na cheti kinachopruvu una uko above 18

mbona ukimwi kwa wazungu hamna kama kwetu???this shows nani haswaaa ndio wachafu wa kutimba timba lol,kongosho hauna kaka mzungu uniunganishe naye?lol
 
neema ndo getruda wa vacation

Huyu dada amekuwa kama okoli kwa kuwatukuza wazungu, hivi haamini kama wanaume wazuri na waadilifu wanaweza kupatikana Africa? ulaya tu ndo kuna waaminifu? dahh huu ni muendelezo wa mindset za kuwatukuza wazungu kwa kila kitu, sipendi hii tabia hata kidogo!
 
Nachila mmatema
kumbe kanalipa?

Wee neema, ujue mie huwa napenda sana wewe
tatizo domo zege
afu mie black
Umeona picha zake lakini? Ingia kwenye profile yake umcheki vizuri....ana kafigure flani hivi....Ila ana kitumbo..sijui ana kibendi...?
 
Hutofautiani na mkuu wako aliyesema watoto wa shule za msingi kupata mimba ni kiherehere chao

maliza la saba tuje tufanye research ya mambo ya ukimwi japo upate mwanga kidogo

ila uje na cheti kinachopruvu una uko above 18

hata ufanye research miaka 20,ukimwi kwa wazungu hauko kama africa(tanzania).............afu wacha kunipotezea una kaka mzungu,na mie nataka kuringishia u turn.....afu nimegundua uturners tuko kibao humu....ila humu jamii forums.,....mnakana hamtembelei blogs za kidaku.....u turn oyeeeeeeeeeeeeeeee mie sikatai nashinda mule..lol
 


babu weee the same unavyotukuza waaafrica ndivyo ninavyotukuza wazungu,ni preference tu kama unayoenda dukani unanunua maji ya kilimanjaro na si uhai....mie mbona sijakuchukia na tabia yako ya kupenda waafrica.......?
 
babu weee the same unavyotukuza waaafrica ndivyo ninavyotukuza wazungu,ni preference tu kama unayoenda dukani unanunua maji ya kilimanjaro na si uhai....mie mbona sijakuchukia na tabia yako ya kupenda waafrica.......?

Hahahahaha haya Neema mpendwa, ila nimependa unavyoijenga hoja hoja yako, unaelekea kuniconvince na mimi huenda nikaanza kutafuta mzungu kwa kuita pita maeneo ya serena, kempisk(???) na kule sunrise beach....nijue wakoje na kupata ladha yao
 
Hahahahaha haya Neema mpendwa, ila nimependa unavyoijenga hoja hoja yako, unaelekea kuniconvince na mimi huenda nikaanza kutafuta mzungu kwa kuita pita maeneo ya serena, kempisk(???) na kule sunrise beach....nijue wakoje na kupata ladha yao

lol,Mrembo unashawishika kirahisi hivyo? ....haya bwana nimefurahi nimepata mfuasi......ukiwa unaenda kuwinda usisahau kunistua twende wote,...lol
 

Jamani mbona ukoloni unarudi...........leo tu nimesoma mtoto kapewa mimba kisa CL na blackberry hapo bado wanaoliwa tigo hawajafunguka.

Yaani vizee vinafanya kila dark sexual fantansy kwa dada zetu............
 
lol,Mrembo unashawishika kirahisi hivyo? ....haya bwana nimefurahi nimepata mfuasi......ukiwa unaenda kuwinda usisahau kunistua twende wote,...lol

Xmass hii vipi tukawind nini au tusubiri hadi mwakani wakija summer holiday? naskia ukitaka mzungu inabidi uwe mtokaji na sio mkaa ndani...au muendaji wa ngwasuma....
 
babu weee the same unavyotukuza waaafrica ndivyo ninavyotukuza wazungu,ni preference tu kama unayoenda dukani unanunua maji ya kilimanjaro na si uhai....mie mbona sijakuchukia na tabia yako ya kupenda waafrica.......?

Heheheheee nimeipenda hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…