Je, ni kweli hili jambo linafanyika kimya kimya huko Tamisemi?

Je, ni kweli hili jambo linafanyika kimya kimya huko Tamisemi?

msovero

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2019
Posts
863
Reaction score
1,534
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza.

Mtakumbuka Rais magufuli alitoa kibali cha kuajiri walimu 13,000 ili kukabiliana na tatizo la upungufu wa walimu nchini.

Katika kibali hicho, serikali iliamua kutoa ajira hizo katika awamu mbili ambapo katika awamu ya kwanza zilitolewa ajira 8,000 zikasalia ajira 5,000 ambazo pia zinatarajiwa kutolewa karibuni.

Kufuatia hatua hiyo kuna rumors za chini ya kapeti zinadai kwenye ajira 5,000 zilizobaki kuna mchakato wa kutumia watu barua za ajira toka Tamisemi na kuajiri watu kimya kimya unaendelea kufanyika.

Rumors hizo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali katika mitandao ya kijamii ikiwemo face book, whatsapp, hapa jamii forums na kwingineko.

Haya ni baadhi ya mambo waliyoandika wadau kuhusiana na rumors hizo,

Screenshot_20210130-115008~2.png

Baadhi ya maoni ya wadau wa hapa jamii forums pia wameandika
Screenshot_20210203-062419~2.png

Screenshot_20210203-062613~2.png

Kutokana na rumors hizi kusemwa semwa sana inaonyesha kuna ukweli fulani kuhusiana na hili jambo hivyo nimeonelea nililete hapa jamii forums sehemu ambapo watu wanaweza kulizungumza kwa uhuru na uwazi ili watu waseme ukweli juu ya kinachoendelea.

Je, ni kweli kuwa watu wamepewa barua za ajira ya ualimu na wanaendelea kuajiriwa kimya kimya na ofisi ya Rais-Tamisemi?
 
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza.

Mtakumbuka Rais magufuli alitoa kibali cha kuajiri walimu 13,000 ili kukabiliana na tatizo la upungufu wa walimu nchini.

Katika kibali hicho, serikali iliamua kutoa ajira hizo katika awamu mbili ambapo katika awamu ya kwanza zilitolewa ajira 8,000 zikasalia ajira 5,000 ambazo pia zinatarajiwa kutolewa karibuni.

Kufuatia hatua hiyo kuna rumors za chini ya kapeti zinadai kwenye ajira 5,000 zilizobaki kuna mchakato wa kutumia watu barua za ajira toka Tamisemi na kuajiri watu kimya kimya unaendelea kufanyika.

Rumors hizo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali katika mitandao ya kijamii ikiwemo face book, whatsapp, hapa jamii forums na kwingineko.

Haya ni baadhi ya mambo waliyoandika wadau kuhusiana na rumors hizo,

View attachment 1693059
Baadhi ya maoni ya wadau wa hapa jamii forums pia wameandika
View attachment 1693069
View attachment 1693071
Kutokana na rumors hizi kusemwa semwa sana inaonyesha kuna ukweli fulani kuhusiana na hili jambo hivyo nimeonelea nililete hapa jamii forums sehemu ambapo watu wanaweza kulizungumza kwa uhuru na uwazi ili watu waseme ukweli juu ya kinachoendelea.

Je, ni kweli kuwa watu wamepewa barua za ajira ya ualimu na wanaendelea kuajiriwa kimya kimya na ofisi ya Rais-Tamisemi?
SASA KAMA KUNA MTU ANAUSHAHIDI NA HIZO POST, ANAHIZO BARUA AU WATU WALIOPEWA HIZO POST, SIWAZILETE ILI UUMA WAWA TANZANIA UONE KINACHOENDELEA?? KAMA HAKUNA USHAHIDI WA MWENYE HIYO POST YA AJIRA BASI HIZI NI PROPAGANZDA, NA IKIWEZWKANA WANAOZISAMBAZA WASAKWE NA WAKAMATWE NA KUFIKISHWA KWANYE VYOMBO VYA DOLA ILI SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE HARAKA SAANA.
 
SASA KAMA KUNA MTU ANAUSHAHIDI NA HIZO POST, ANAHIZO BARUA AU WATU WALIOPEWA HIZO POST, SIWAZILETE ILI UUMA WAWA TANZANIA UONE KINACHOENDELEA?? KAMA HAKUNA USHAHIDI WA MWENYE HIYO POST YA AJIRA BASI HIZI NI PROPAGANZDA, NA IKIWEZWKANA WANAOZISAMBAZA WASAKWE NA WAKAMATWE NA KUFIKISHWA KWANYE VYOMBO VYA DOLA ILI SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE HARAKA SAANA.
Jambo usilolijua ni km usiku wa giza kaka
Huwezi amini ajira za mwaka jana na hizi za mwaka huu zimegubikwa na connection na rushwa msibishe wadau watu wanapiga hela mpk kero we acha watoto wa maskini tufe na njaa ila one day yes
 
Jambo usilolijua ni km usiku wa giza kaka
Huwezi amini ajira za mwaka jana na hizi za mwaka huu zimegubikwa na connection na rushwa msibishe wadau watu wanapiga hela mpk kero we acha watoto wa maskini tufe na njaa ila one day yes
LETA USHAIDI WA HIYO CONECTION.
 
Hizi ajira mbona waziri mkuu alisema zimetoka wiki zilizopita akifunga kikao cha bunge dodoma au hizi ni Za mara ya 3
 
Bongo connection!


Kabla ya kutangazwa hizo elfu 13 kuna dem wangu mtoto wa kanali alienda kulipoti kazini wilaya X mkoani mwanza. Huyu dem wala sio mwanamiwani kama anavyoogopeka kituoni kwake, anaogopwa hadi na mkurugrnzi.


Maafisa tarafa na kata walioajiriwa 2019 na 2020 mwanzoni wote waliojiriwa kwa mchongo, ya rushwa, ukada na wanakitengo wachache sana.
 
Ingawa hili siwezi kulisema kwa uhakika ila serikalini kuna mambo mengi..mitandao mingine ya kutenda uovu nayo ni mingi..unakuta mtandao wa kuumiza au kumlenga mtumishi flani aumizwe / amalizwe unapangwa na kuratibiwa.Kuna mambo mengi sana na wengine wanatumia visingizio ooh idara haimtaki mtu flani ooh huyu ni mpinzani
 
SASA KAMA KUNA MTU ANAUSHAHIDI NA HIZO POST, ANAHIZO BARUA AU WATU WALIOPEWA HIZO POST, SIWAZILETE ILI UUMA WAWA TANZANIA UONE KINACHOENDELEA?? KAMA HAKUNA USHAHIDI WA MWENYE HIYO POST YA AJIRA BASI HIZI NI PROPAGANZDA, NA IKIWEZWKANA WANAOZISAMBAZA WASAKWE NA WAKAMATWE NA KUFIKISHWA KWANYE VYOMBO VYA DOLA ILI SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE HARAKA SAANA.
Kesi ya nyani, hakimu ngedere...
 
Muhimu uchunguzi ufanyike kwa sababu lisemwalo lipo na kama halipo linakuja! TAMISEMI kuna mambo mengi sana ya ovyo sema tu spika nyingi zinatuaminisha kuwa mambo yapo sawa na kinyume chake. TAMISEMI waliwahi kutoa tangazo (mwaka 2018 mwishoni) kuwa wamesitisha uhamisho wa watumishi hasa wakiwalenga walimu ili kuandaa mfumo wa uhamisho kwa njia ya mtandao (online transfer) lakini hadi leo sijawahi kusikia huo mfumo ulifikia hatua gani!
 
Back
Top Bottom