Wana Jf mm nina mpenzi wangu tangu tupendane tuna zaid ya mwaka na sijawah kufanya naye tendo la ndoa, lakin ananiahid kuwa ana bikira na ameiweka kwa ajil yangu mpaka siku ya ndoa itapowadia. Je ndugu zangu ni kweli kuna msichana wa dunia ya leo anayeweza kuwa na bikira! Na je kama nikikuta hana bikira nimfanyeje?
Nipe contact zake nikutengenezee njia mkuu, just kidding. Ukitaka kujua kama ni bikra mwangalie mguuni sehemu ya unyayo ukiona ina mviringo kama yai ujue analakiri bado ila kisigino kikiwa flat ujue watu wameshakutengenezea njia siku nyingi.
Nipe contact zake nikutengenezee njia mkuu, just kidding. Ukitaka kujua kama ni bikra mwangalie mguuni sehemu ya unyayo ukiona ina mviringo kama yai ujue analakiri bado ila kisigino kikiwa flat ujue watu wameshakutengenezea njia siku nyingi.
wewe unayo?Yaarab!!!!..
unaoa mke au unaoa bikira?
Nipe contact zake nikutengenezee njia mkuu, just kidding. Ukitaka kujua kama ni bikra mwangalie mguuni sehemu ya unyayo ukiona ina mviringo kama yai ujue analakiri bado ila kisigino kikiwa flat ujue watu wameshakutengenezea njia siku nyingi.