Je, ni kweli Ibrahimu alijenga kaabah?

Jibu mudi boy ni muongo
 
Tuanzie hapa. Ibraham wa Biblia ndiyo huyu wa Korani?
 
Hakukuwa na Saudi Arabia miaka ya Ibrahim. Saudi Arabia ni nchi changa sana iliyoanzishwa miaka michache nyuma, 1932.
.
Kuwa mkweli.
Huoni hapo sasa uislamu ndio umeongopa kusema ibrahimu alijenga ile kaaba pale Maka
 
Mtoa mada hivi vitabu umewahi kuvisikia? Injili,taurati,zaburi,quraan....kama sio wewe unatumia kitabu gani cha maandiko? Kama ndio unaweza kuniambia injili aliteremshiwa nani?hvo kwa taurati,zaburi na quraan? tuanzie kwanza hapo.
Kuna ujinga na upumbuvu sasa Ingia ktk mtego wa upumbavu alafu umpe elimu yatabaki yakicheka na kukenua yakiona wenzao wajinga kumbe wao ni brain washed na hata kujua vizur vyanzo na uhalali wa vitabu na mipaka ya nchi za sasa haukua hivi ulivyo leo...
Wache wapumbavu na upumbavu wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…