Mkuu uzinzi interms off kulala na madada poa au hawa maslay queens ama kama uko na mpenzi wako mmoja tu pia inafall kwenye uzinzi ama ikoje mkuu, Karibuili uendelee kibiashara inabidi uchague upande wako kabla haujaanza.....kama ni kumtegemea Mungu basi kuwa na Mungu muda wote usichanganye mambo hasa uzinzi....na kama unafanya shirki basi egemea upande huo.....
wengi ambao hawafanikiwi katika biashara licha ya kumtegemea Mungu ni kutojua sheria za kufanikiwa kibiashara ukiwa upande wa Mungu, mambo kama kutoa zaka, sadaka ya shukrani, kuacha uzinzi....
ila uzinzi unaharibu sana biashara sana.....unaweza kuwa hausali wala nini ila uzinzi upo nao mbali utafanikiwa hata bila kuwa na imani kuuuubwa
Nje ya ndoa kwa namna yoyote ni uzinzi.Mkuu uzinzi interms off kulala na madada poa au hawa maslay queens ama kama uko na mpenzi wako mmoja tu pia inafall kwenye uzinzi ama ikoje mkuu, Karibu
π°Nje ya ndoa kwa namna yoyote ni uzinzi.
mkuu zote ulizotaja ni uzinzi, maana haina kibali toka kwa Mungu. so hata uwe naye mmoja ile bado ni dhambiMkuu uzinzi interms off kulala na madada poa au hawa maslay queens ama kama uko na mpenzi wako mmoja tu pia inafall kwenye uzinzi ama ikoje mkuu, Karibu
Mie sijafanikiwa sana kwenye biashara lakin najiona nimemove pakubwa....kuna biashara 1 niliingia nikataarifiwa mapema huku bila ndumba dada hutoboi...sikutaka hata kumsikia mtu .Ngoja nisome comments huwa najiuliza sana kuhusu uchawi kwenye biashara
Mie sijafanikiwa sana kwenye biashara lakin najiona nimemove pakubwa....kuna biashara 1 niliingia nikataarifiwa mapema huku bila ndumba dada hutoboi...sikutaka hata kumsikia mtu . Nikaamua kuwa smart tu kufata abc za hiyo biashara..wale walokiwa wamechanjwa michale elfu 1 miilini mwao wakageuka kuniita boss...na nimewaacha mbali...siwez lingna nao ..lakin wanasujudu hayo mambo..nadhan ni imani pia jamani..yaani nimpelekee mganga kuku mimi? Si namchinja namchoma namlumangia na altar wine nalala nakoroma kbs[emoji19]
Nadhani ni imani tu ...ila huenda kuna ukweliHongera sana kwa kumtegemea Mungu na hongera kwa hatua uliyopiga bila kujihusisha na ndumba. Huwa na amini kila kitu kinawezekana ni wewe tu uamue kutumia njia ipi ili ufike. Kuna biashara zinalipa ila watu wanaingia wanaangukia pua ukiuliza sababu ni nini jibu ni kama sio mtu wa ndumba kufanikiwa n kazi sana maana vita yake sio ndogo.
Walikufanyaje? Jamani sijui ..mie kuna siku nimeamka mwalo wote una sarafu za mjerumani nikizsoma sielewi kitu...zina lugha fulan sijhi kiarabu sijui kilugha gan na madude dude na maandishi ya kiarabu na suruali 1...shenzi nikayafagia nikayachoma moto..bas wenyej wakanikataza kabisa nisiguse nitakuwa sifanyi kitu hapo.. nikaona uzushi nikachoma moto...wakaniambia utakuwa unanunua mawe then huku hupat dhahabu nikajibu sawa bas tusubiri kifupi kile kifusi kilikuja kuuzwa vzr tu na dhahabu tulikua tunakamatisha ..na sikuugua wala kudhurika...nadhan walinitisha ili wanile hela za kunipeleka kwa mganga ..ww ulitokewa nini?Wengi wanatumia ndumba sana na wanaamini kufanikiwa mpka sasa sijajua ni kwa nini .......
Nilienda kufanya mishe huko chongoleani aisee walichonifanya sio poa niliamua kugeuza zangu tu
Mwanzo nilikuwa najua haya mambo ni hadithi tu kwenye biashara
Nadhani ni imani tu ...ila huenda kuna ukweli
Katika mtu ambaye nilikuwa siamini uchawi sijui miujiza ndo Mimi yaani hata kumuomba Mungu nilikuwa sifanyi hivyo sana sana nilikuwa naona ni siasa tu hizi tu hamna kituWalikufanyaje? Jamani sijui ..mie kuna siku nimeamka mwalo wote una sarafu za mjerumani nikizsoma sielewi kitu...zina lugha fulan sijhi kiarabu sijui kilugha gan na madude dude na maandishi ya kiarabu na suruali 1...shenzi nikayafagia nikayachoma moto..bas wenyej wakanikataza kabisa nisiguse nitakuwa sifanyi kitu hapo.. nikaona uzushi nikachoma moto...wakaniambia utakuwa unanunua mawe then huku hupat dhahabu nikajibu sawa bas tusubiri kifupi kile kifusi kilikuja kuuzwa vzr tu na dhahabu tulikua tunakamatisha ..na sikuugua wala kudhurika...nadhan walinitisha ili wanile hela za kunipeleka kwa mganga ..ww ulitokewa nini?
Na kuna kipindi nilirudi hom kupumzika nikaibiwa vifaa fulani...ati wakaleta mganga ( nilowqacha) akazindika mwalo(sina hakika kama alizindika) narud naambiwa nitoe 100k ya mganga eti kazindika mwalo..ohh nw mwizi akija usk haoni kitu anakuta maji tu nikampa makavu huyo mganga nikamwambia sitoi hela hakuna kitu kam hicho nikadinda balaa akaondoka...nikaja ibiwa tena ....[emoji38] sasa iweje aliiba huyo mwizi kama sio kuaminishwa ujinga tu? Yaan swal langu huamini uchawi ww unakupataje had ukudhuru? Mnasimamiaga miguu gan wenzetu?[emoji36][emoji119]
Katika mtu ambaye nilikuwa siamini uchawi sijui miujiza ndo Mimi yaani hata kumuomba Mungu nilikuwa sifanyi hivyo sana sana nilikuwa naona ni siasa tu hizi tu hamna kitu
Basi bwana baada ya kuanzisha biashara Chongoleani kila aina ya vitimbwi niliviona. Mara asubuhi nikiamka.nikienda kwenye biashara yangu nakuta.kama hawaja nivunjia nazi nje basi mayai huku yakiwa yameandikwa na maandishi mekundu basi mi nayafagia tu lakini hilo halijanifanya niondoke
Kilicho fanya niondoke cha kwanza nilianza kuumwa ikifikia kipindi nikapooza.mkono yaani ukipooza mkono haufanyi kazi upo.kama pambo ulikuwa wa kushoto basi kuna mtu nilikuwa nasaidiana nae na nimeenda hospitali hawaoni tatizo
Pesa huwa nazifungia na kuzificha kwangu asubuhi nikifungua..Kibubu zimepungua.nikaambiwa na baadhi ya wazee wenyeji wangu nakunywa nao kahawa hao ni kopera weka.kipande Cha.mkaa. lakini wapi sijui ndimu lakini wapi.
Nikaanza tena kuugua safari hii.kichwa utasema.mtu kama ananichoma na sindano baadaye nikapooza.upande wote wa kushoto hadi mguu so nikaacha.biashara . nilienda hospitali ya wilaya wakaniandikia labda niende hospitali ya rufaa huko ikashindikana.. maana tatizo hawalioni sasa mi nashangaa ugonjwa gani hauonekani ndo nakumbuka kuna rafiki yangu akaniambia mmh hapa kuna walakini
Cha ajabu sikwenda kwa mganga nilienda kuugulia.nyumbani mi nilikuwa wa kunyanyuliwa.hata kukaa siwezi lakini sijamalizi wiki nikashangaa.nimepona
Haya ni madini haswa haswa.ili uendelee kibiashara inabidi uchague upande wako kabla haujaanza.....kama ni kumtegemea Mungu basi kuwa na Mungu muda wote usichanganye mambo hasa uzinzi....na kama unafanya shirki basi egemea upande huo.....
wengi ambao hawafanikiwi katika biashara licha ya kumtegemea Mungu ni kutojua sheria za kufanikiwa kibiashara ukiwa upande wa Mungu, mambo kama kutoa zaka, sadaka ya shukrani, kuacha uzinzi....
ila uzinzi unaharibu sana biashara sana.....unaweza kuwa hausali wala nini ila uzinzi upo nao mbali utafanikiwa hata bila kuwa na imani kuuuubwa