Je ni kweli kabati nyeupe halifai?

malikia balqiis

Senior Member
Joined
Apr 28, 2023
Posts
118
Reaction score
189
Habar zenu wadau ninaprnda kabati jeupe la nguo na nina mpango w akununua katika pita pita zangu nikaona mtàndaon wanasema eti rangi nyeupe inawai kufubaa haifai naombeni ushauri wenu je ni kewl kabat nyeupe haifai ???? Nimeogopa kwakwel embu wazoefu mnipe ushauri
 
Sio Kweli Mpendwa inategemea Wewe tu kuwa Msafi Mimi vitu vyangu vingi Sana ni Vyeupe kuanzia Sebuleni mpaka Chumbani mpaka Shuka ni Nyeupe ninapenda White Sana Nunua tu.
 
Halina tatizo, muhimu iwe ni rangi ya metalic (kwa urahisi liwe limepuliziwa ile rangi ya kung'aa ya gari) tu, usije ukanunua la tofauti na hapo ndugu maana utaanza kuyaamini maneno ya hao wananzengo.
 
Hakuna kitu kama hiko,fata kitu roho inapenda

After all kufubaa rangi nyeupe ni kawaida lakini kwa mechanism zilizopo sasa hivi after 3-4 years

Unaspray tena afu mambo yanaenda hata sio ghali kivile

Sisi wengine ni team black

Ukiingia home kila kitu black kuanzia showcase mpaka sofa
 
Asante dear mana wamenitisha ao duuh napenda nyeupe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…