Literary akipungua unene ataonekana kama ameongezeka urefu ila basically hakuna kimo kilichoongezeka, ni kwmb vibonge wengi wanaonekana kama wafupiHabari wana JamiiForums.
Eti ni kwel mtu akiwa mnene sanaa na akaja kupungua uzito kwa haraka kama alikuwa mfupi? Huongezeka urefu je ni kwel au ni uwongo?
Kama ni kwel nianzee kula ovyo ninenepeee kisawa sawa....kisha nikonde niwe mrefuu zaidiii[emoji4][emoji4][emoji4]