Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Wakuu huku kitaa kuna vpn nyingi ambazo wadau wanadai zinapunguza data kuisha au kutumika
zingine wanasema ukiwa nayo unatumia data bure
zingine wanasema ukiwa nayo unatumia data bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mm natumia SOCKS IP VPN ,,nalipia elf 20 unlimited kwa mwezi,kama unaweza njoo tuchangie gharama nikupe file la setting.Wakuu huku kitaa kuna vpn nyingi ambazo wadau wanadai zinapunguza data kuisha au kutumika
zingine wanasema ukiwa nayo unatumia data bure
Duuh network ya uhakikaNdiyo mm natumia SOCKS IP VPN ,,nalipia elf 20 unlimited kwa mwezi,kama unaweza njoo tuchangie gharama nikupe file la setting.
Nataka hii! lakini uhakika?Ndiyo mm natumia SOCKS IP VPN ,,nalipia elf 20 unlimited kwa mwezi,kama unaweza njoo tuchangie gharama nikupe file la setting.
Sasa tunafanyaje mkuu, Mb kuzimaliza dakika 0 tuUhakika mkuu ila uwe na laini ya tigo na isiwe na mb
Down load kutoka play store inaitwa SOCKS IP VPN baadae nitafute nikupe settings.Unazipataje hizi VPN nahitaji..
Ww kama sio tapeli ni mjinga, unasema kabisa na mtandao wakati hao tigo na IT wao wapo humu.Uhakika kabisa kikubwa uwe tu eneo lenye network na laini ya tigo
Link ya app ya socks ip tunnelUnazipataje hizi VPN nahitaji..
Next..Link ya app ya socks ip tunnel
![]()
SocksIP Tunnel - Apps on Google Play
This application allows you to create a VPN tunnel (SSH,DNS,HTTP/TLS) Free and fastplay.google.com
Mtu ambae hawezi kutunza Siri hata siku Moja hawezi kufanikiwa kwenye jambo lolote yy hajui kama hyo njia anayotumia kupata bundle ni wizi halafu anaji tangazaWw kama sio tapeli ni mjinga, unasema kabisa na mtandao wakati hao tigo na IT wao wapo humu.
Hapo watakufuata inbox wataangalia hizo njia unazotumia na wataziba upenyo, huna haja ya ku share.
Ni kweli mafanikio yapo kwenye siri.Mtu ambae hawezi kutunza Siri hata siku Moja hawezi kufanikiwa kwenye jambo lolote yy hajui kama hyo njia anayotumia kupata bundle ni wizi halafu anaji tangaza
una downloadUnazipataje hizi VPN nahitaji..
hii nimeipendaMtu ambae hawezi kutunza Siri hata siku Moja hawezi kufanikiwa kwenye jambo lolote yy hajui kama hyo njia anayotumia kupata bundle ni wizi halafu anaji tangaza
Upo sahihi KbsaMtu ambae hawezi kutunza Siri hata siku Moja hawezi kufanikiwa kwenye jambo lolote yy hajui kama hyo njia anayotumia kupata bundle ni wizi halafu anaji tangaza
bei ya setting n kubwaDown load kutoka play store inaitwa SOCKS IP VPN baadae nitafute nikupe settings.
Mkuu wao wenyewe internwt wananunua usijali siyo siri kubwa acha kua paranoidWw kama sio tapeli ni mjinga, unasema kabisa na mtandao wakati hao tigo na IT wao wapo humu.
Hapo watakufuata inbox wataangalia hizo njia unazotumia na wataziba upenyo, huna haja ya ku share.
nikufate dm mtaalamSasa ndo uulize Kwa sauti hivi? 😁
Kawaida tu elf 10 per month unlimited.bei ya setting n kubwa