Jumlisha
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,239
- 2,765
Bila kupoteza muda, habarini wana JF.
Siku za hivi karibuni niliamua kuanza kufuga nywele, sasa kila mtu ananiambia ukitaka nywele zikue naambiwa niache kuziosha kabisa kwa maji. Nimefatilia kwa watu hasa jinsia KE naona nao wananiambia hivo hivo.
Je, kuacha kuosha nywele ili kufanya zikue sio kukaribisha uchafu kichwani kama mmba, chawa na kujikuta unakuna nywele ka chizi na nikiendelea kuosha kila siku hazito kuwa?
Naomba kuwasilisha.
Siku za hivi karibuni niliamua kuanza kufuga nywele, sasa kila mtu ananiambia ukitaka nywele zikue naambiwa niache kuziosha kabisa kwa maji. Nimefatilia kwa watu hasa jinsia KE naona nao wananiambia hivo hivo.
Je, kuacha kuosha nywele ili kufanya zikue sio kukaribisha uchafu kichwani kama mmba, chawa na kujikuta unakuna nywele ka chizi na nikiendelea kuosha kila siku hazito kuwa?
Naomba kuwasilisha.