Je, ni kweli kuwa anayefanya Mazoezi ya kutembea tu kwa Miguu Tegeta hadi Mwenge anaimarika Kiafya kuliko anayekimbia?

Je, ni kweli kuwa anayefanya Mazoezi ya kutembea tu kwa Miguu Tegeta hadi Mwenge anaimarika Kiafya kuliko anayekimbia?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kwamba anayekimbia atakachokiingiza zaidi tu Mwilini mwake ni Pumzi ila Mtembea kwa Miguu Yeye anaingiza Pumzi ya Wastani ila anaimarisha Mwili mzima pamoja na Viungo vyake vyote na Kujengeka Kiafya mpaka na Kimwonekano.

Tafadhali wale Wakimbiaji na Watembea kwa Miguu bila kuwasahau na wale Mathematicians na Scientists wa Mazoezi ya Mwili karibuni mnielimishe vyema ili Kesho ninapoanza Mazoezi nijue nifanye lipi kati ya Kutembea tu au Kukimbia hovyo bila faida kama aliyekuwa Mchezaji wa Timu mbovu Tanzania ya Yanga SC ( sasa RS Berkane ) Tuisila Kisinda.
 
Ukitembea ni bora zaidi unaepuka risk ya kukosa pumzi maana Dar hewa ni nzito na msongamano wa watu ni mkubwa ..."!,,ni ntazamo wangu hauna any scientific evidence"
 
Kwamba anayekimbia atakachokiingiza zaidi tu Mwilini mwake ni Pumzi ila Mtembea kwa Miguu Yeye anaingiza Pumzi ya Wastani ila anaimarisha Mwili mzima pamoja na Viungo vyake vyote na Kujengeka Kiafya mpaka na Kimwonekano...
Lengo kuu ni ku-burn calories. Ukitembea una-burn calories, ukikimbia una-burn calories mara mbili ya kutembea.

Logically nguvu na pumzi unayotumia kukimbia 5km ni kubwa kuliko utakayotumia kutembea 5km.
 
Kukimbia ni kutembea haraka.
Mbio zinafanya mfumo wako wa upumuaji uwe imara.

Asante
 
Back
Top Bottom