pretty, ni mambo mengi yanachangia hili ndugu yangu, kama hayajakutokea nyamaza, nimehandle kesi 2 tofauti nilishindwa kuzitolea uamuzi kweli akina mama wana kazi na siku zote wapo kwenye majaribu!!
pana dada alitembea na dereva wa ofisi, wala haikupita muda mabo yakajulikana, maana dereva alikuwa brother man, na mdada ni boss kwahiyo ikabidi ajifaraghue ili watu wajue!! issue ilikuwa hivi yule dada alipata kazi katika ofisi moja kubwaa ambayo maboss wa pale kwa ufisadi wa ngono hawajambo, dada analipa fresh from UD, ile kukabidhiwa tu majukumu wazee wakaanza kumfuatilia kila mmoja kwa wakati wake, yy akatafuta gear ya kuzuga hivyo akafanya deal na dereva kuwa wazuge ili wazee waache kumsumbua, deal likawa deal kijana akatake-advantage akafanya kweli, na binti naye akanogewa maana mzee home mambo fulani busy na shughuli haiwezi, sasa nguo mkononi binti anamuona husband wake kama uchafu, maana jamaa mambo hayo hayupo kabisa hata ku-hug yeye anaona taabu wakati brother man haulizwi, ofcourse bint kaacha kazi katafuta ofisi nyingine na anadai kijana kaachana nae lakini hakuna tena penzi kwa mumewe anataka watengane!! mume naye anasema NO ww ni wangu, kwahiyo hapo ndani kama paka na chui....