Kuna akina mama wengine lakini iwa wanashindwa kutambua huyu mtoto baba yake ni yupi. Maana anapiga remix anatembea na kiserengeti boyz kuna muuza nyama kuna muuza genge kuna dereva taxi kuna pedeshee mwenye duka mama huyo huyo mmoja na kuna mmewe sasa mtoto akizaliwa hapo sijui kama mama anaweza tambua.
Wapo wanawake wanao fanya remix ya aina hii.
mbona kitu ni kile kile, kama mwanaume ni yule yule au mwanamke ni yule yule, mie naona itakuwa bora kama utamfundisha mwenzio nn unataka ili akupatie kuliko kutoka nje. maana sehemu zote za siri zinafanana kwa wanaume na wanawake.
Inabidi tu ulizike na ulichokipata. Nadhani utakizoea na kukipenda. Kutoka nje jamani maradhiiiiiiii!No...sio kweli. Hujawahi kukutana na zilizopinda? zilizonyooka? nene? nyembamba? zilizokatwa? zenye maji? kavu? saa sita? vindimu? n.k.
Unachozungumzia wewe ni jinsia lakini watu ni tofauti. Kuna mambo mengi hapa...tangible na intangible ambayo unaweza kuyapata au kuyaona kwa fulani na usiyapate au usiyaone kwa mwingine. Sasa kwa mtaji huo utafanyaje maana kuna mambo mengine hayafundishiki....
Kuna usemi kuwa nayejua Baba wa Mtoto ni Mama.Hii inatokana na tabia ya wanawake wengi kuwabambikia Waume zao au wenzi wao mimba wakati wamepatiwa na wengine.Inatokea pale Msichana anapotaka kuolewa na Mtu mwenye fedha au Mwanaume aliyempenda lakini kwa bahati mbaya akapatiwa mimba na mwingine.Wakinamama wa JF ni kweli? na kwa Wanaume wa JF ni kweli tunabambikwa?
Inabidi tu ulizike na ulichokipata. Nadhani utakizoea na kukipenda. Kutoka nje jamani maradhiiiiiiii!
Kuna usemi kuwa nayejua Baba wa Mtoto ni Mama.Hii inatokana na tabia ya wanawake wengi kuwabambikia Waume zao au wenzi wao mimba wakati wamepatiwa na wengine.Inatokea pale Msichana anapotaka kuolewa na Mtu mwenye fedha au Mwanaume aliyempenda lakini kwa bahati mbaya akapatiwa mimba na mwingine.Wakinamama wa JF ni kweli? na kwa Wanaume wa JF ni kweli tunabambikwa?
Kuna usemi kuwa nayejua Baba wa Mtoto ni Mama.Hii inatokana na tabia ya wanawake wengi kuwabambikia Waume zao au wenzi wao mimba wakati wamepatiwa na wengine.Inatokea pale Msichana anapotaka kuolewa na Mtu mwenye fedha au Mwanaume aliyempenda lakini kwa bahati mbaya akapatiwa mimba na mwingine.Wakinamama wa JF ni kweli? na kwa Wanaume wa JF ni kweli tunabambikwa?[/
Alhamdu-li-llah . Teknologia sasa. Watu wanachambua genes. Sasa ni wa nani siyo tatizo.