GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nyie si mnadai mlifika Fainali....ya mashudu Abiola CAF mwaka 1893...je mlivaa medali!? au mlipewa Mo Shabuni!!??[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Kama Jibu ni ndiyo basi kuna Watu Medali pekee watakazorudi nazo nchini Tanzania ni Tiketi zao tu za Ndege ya Msaada waliyopewa na Kuipanda.
Kudadadeki....!!
Simba imebaki timu pekee iliyoleta Kombe la CAF nchini tukaliona. Hao wengine wamecheza fainali gani?
Utoto rahaSimba imebaki timu pekee iliyoleta Kombe la CAF nchini tukaliona. Hao wengine wamecheza fainali gani?
Simba imebaki timu pekee iliyoleta Kombe la CAF nchini tukaliona. Hao wengine wamecheza fainali gani?