ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Niliwahi kusikia mahali kwamba heri masikini na watumwa wao ndo hawanaga stress kama boss eti kwamba matajiri wanateseka sana japo wana hela lakini haziwasaidii kupata furaha Wala kupata usingizi mzuri wala kuwa na amani ya moyo naombeni tu kujua kama ni kweli au ndo zetu maskini kujipaga matumaini.
Binafsi kwa uzoefu wangu me huwa na furaha hata nikiwa sina pesa ila pia nikipigika kisawasawa hata mzuka wa kupost JF nakuwa Sina thanks God naona labda kweli mwigulu kaweka trillion Tano kwenye system maana mazali yananitembelea now.
Binafsi kwa uzoefu wangu me huwa na furaha hata nikiwa sina pesa ila pia nikipigika kisawasawa hata mzuka wa kupost JF nakuwa Sina thanks God naona labda kweli mwigulu kaweka trillion Tano kwenye system maana mazali yananitembelea now.