Je ni kweli kuwa Mayai........??

Yusuph Salehe

Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
58
Reaction score
1
Habari zenu wakuu? Naomba msaada au udhibitisho wa kisayansi kama MAYAI yanaweza kutoa chunusi usoni kwa sababu nasikia tu juu juu kuwa MAYAI yanauwezo wa kutibu magonjwa ya ngozi kama chunusi na upele usoni. Je hili ni la kweli?
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
Sina hakika ya mayai mi najua matango (cucumber)....unachuja maji na kupaka na mayai ni kwa nywele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…