Je ni kweli kuwa wanaume wafupi wanayajua mahaba....?


hapoo kwenye nyekundu chachaa...kwa maana hiyo wee ulalii unasikilizaa mechi ya jirani.....hiyo ya piliiii mmmmmmh!sina kauli
 
Hahahahhaha aluuuuuuuuuuuuuuu!!! hii kali. Sina mbavu!! Mimi simo.. First Lady taratibu haya mambo haya mmmh!!
 

umeshalamba mwiko eeeh?
 
mimi mwenyewe mfupi lakini nyanzala huwa anajisifu kwa wenzie na mara nirudipo safari huwa na kimwemwe acha weeeeeee jaribu uone
 

Haaahaaa! At least nimelegeza nerves zangu kwa ajiri ya kunyunyuzia kabia ka baridi, lol
 
Wapo wawili! FL na FL1

Sasa Katavi, i am a President, FL1 huyu ndio my wife nadhani tulitengana, nakutuma kama mshenga nipelekee salamu, ila usinigeuke maana washenga nowadays inadbidi kuwa makini, mwambie namsalimu
 
Hilii jamvi linanipa starehe kweikwei, FL. WL, Nguli, generation, teamo, kimey, Mad t, Rose 1980, Chigwiye na wengine you have made my evening. thanx alot. Its like you were all serious. Haya jama ijumaa njema!
 
Hilii jamvi linanipa starehe kweikwei, FL. WL, Nguli, generation, teamo, kimey, Mad t, Rose 1980, Chigwiye na wengine you have made my evening. thanx alot. Its like you were all serious. Haya jama ijumaa njema!

Karibu mkuu tuwe tunaondoa ondoa stress za jukwaa la siasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…