Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
nasikia kwamba wanaume wafupi manayajua mapenzi na wamejaliwa mfagio wenye saizi nzuri ambao hudatisha wanawake wengi.
wanaume wafupi huwa na saizi isiyokera na pia isiyohitaji ufundi mwingi ili kutoa raha kwa mpenzi.
nijuzeni basi kama hili ni kweli ili nami nitafute wakwangu mfupi...........!
Rose yawezekana kweli wakawa na gubu lakini km kitandani wako vizuri yaweza kufuta haya yote.kuhusu vitambi hata ukiwa mrefu na ukawa nacho lazima kipunguze saizi.
onyo........wafuga vitambi muache sababu mtabakia na penseli
Ahahahahahaaaaah pole sana dada Cheusi kwa mkasa huo.nina uncle wangu mfupi,yaani huyo watoto wote wa ndugu zake anatuona hatumuheshimu,anapenda amri,kimbelembele,anajifanya anajua.kitu kidogo tu anadai unanidharau.kuna siku nilimpigia simu kumuuliza anavaa viatu size gani maana kuna viatu niliviona nikavipenda sana nikasema lazima hivi nimnunulie uncle wangu,jamani sikujua eti kumbe kumuuliza tu hivyo ni kosa,hadi akatoa kauli za kunilaani,ukoo mzima ulijua,akaweka hadi vikao anasema eti ni dharau,akawa anasema'yule mtoto anadhani sina viatu natembea peku',upendo wangu kwake uliniponza nililia sana,hadi leo hanipendi hata nijipendekeze vipi kwake anasemaga mie nina madharau,akisikia nimeachieve kitu anasema eti dharau zangu ndi zitazidi.watu wafupi noumarr sana.kuwa na mume kama uncle wangu ni kuji-kill softly.kwanza nafikiri watu wafupi na pistol zao ni fupi pia.
nasikia kwamba wanaume wafupi manayajua mapenzi na wamejaliwa mfagio wenye saizi nzuri ambao hudatisha wanawake wengi.
wanaume wafupi huwa na saizi isiyokera na pia isiyohitaji ufundi mwingi ili kutoa raha kwa mpenzi.
nijuzeni basi kama hili ni kweli ili nami nitafute wakwangu mfupi...........!
nasikia kwamba wanaume wafupi manayajua mapenzi na wamejaliwa mfagio wenye saizi nzuri ambao hudatisha wanawake wengi.
wanaume wafupi huwa na saizi isiyokera na pia isiyohitaji ufundi mwingi ili kutoa raha kwa mpenzi.
nijuzeni basi kama hili ni kweli ili nami nitafute wakwangu mfupi...........!
kwaiyo maty unataka kusema ...WATU WAFUP SIYO MARIOOOOOOOO SAAAAANA VS WAREFU?
teh teh jaman mi stak...
nina uncle wangu mfupi,yaani huyo watoto wote wa ndugu zake anatuona hatumuheshimu,anapenda amri,kimbelembele,anajifanya anajua.kitu kidogo tu anadai unanidharau.kuna siku nilimpigia simu kumuuliza anavaa viatu size gani maana kuna viatu niliviona nikavipenda sana nikasema lazima hivi nimnunulie uncle wangu,jamani sikujua eti kumbe kumuuliza tu hivyo ni kosa,hadi akatoa kauli za kunilaani,ukoo mzima ulijua,akaweka hadi vikao anasema eti ni dharau,akawa anasema'yule mtoto anadhani sina viatu natembea peku',upendo wangu kwake uliniponza nililia sana,hadi leo hanipendi hata nijipendekeze vipi kwake anasemaga mie nina madharau,akisikia nimeachieve kitu anasema eti dharau zangu ndi zitazidi.watu wafupi noumarr sana.kuwa na mume kama uncle wangu ni kuji-kill softly.kwanza nafikiri watu wafupi na pistol zao ni fupi pia.
Huyo huyo shori nae kapata njema ina hogo la jang'ombe anasema linamfikisha kunako yule jamaa akitembea hivi kitu kinalegea kwa sarawili balaaa kama mkono wa miss
ahahahahahaahahahahahah!
NDIIII HOOOUUCHUUU UUNEEEEEEEEEEEE!
sjawai ona shotiii anajisema...wew tall ful stop!!!!
kanunue ring km vp..
mwe mwe mweeeeeeeeeee dont dare.......!!!!!!!
wanaume WENGI LAKIN SI WOTE wafup wana tabia izi:
--wana gubu...kitu kdg atakikuza icho mpk utashangaa
--hawajiamin na ikiwa umempta urefu ndo kabisa anahisi km unamdharau..unamwona mtoto ..unamchukulia poa
--wagomvi ..wanapenda bfu ao usipime..i inatokana na kudhani haeshimiwi sasa katika kuonyesha uanaume wake ndo apo sasa makonz nje nje
--hawana comprmise..MIMI NDO KICHWA CHA NYUMBA ..mimi mwanaume nshasema..i inatokana na infrty cmplx
KUHUSU MFYAGIO mmh sijui manake minajuana ile kitu ina ratio na mwili wa mdau mtu mrefu likell akawa na...mtu mfupi atakuwa na....mtu mnene+ktambi kikubwa+mfupi likelya takuwa na .....
nakubaliana na wewe kabisa,na mimi nina mfano hai wa mtu mfupi,ana kero hizo acha tu!,but anajua kucare sijawahin ona!,so vurugu zake zinamezwa na CARERING zake!
Kha..yaani huyo rafiki yangu akipelekwa shopping yeye na mtoto ni balaa, anahakikisha nyumbani kuna kila kitu msosi havi yaani mazagazaga yote + gari ya kutembelea ye mwenyewe yuko radhi atembee kwa daladala kiasi kwamba wakati mwingine anamtandika na kumtoa nje yaani anafukuza dada watu anaondoka anakaa kwao akikumbuka starehe za kwa mmewe akiombwa tu msamaha anarudi tena haagi mtu. yaani anahakikisha hata uende wapi huwezi pata maisha anayokupa yeye hasa ukimkuta anaejua kuzitafuta halafu najaribu kufikiria swali la fl1 inawezekana kweli wakawa wanajua malavedave maana hawataki kushindwa na kitu hawa watu wafupi so lolote lawezekana kwao wao huwa wanataka kasoro yao iwe ufupi 2
Kha..
Basi mie kweli sifai... hata kubembeleza sijui, ofa ndio kabisaaaaa, ukija uje na pesa yako kabisa hata bia sinunui
Yani mama totoo wangu ndo hivyo tena, sema tu yeye mfupi zaidi yangu, sasa sijui kwanini haondoki?