Je ni kweli kwamba kila jambo liwe baya au zuri limepangwa na Mungu

Je ni kweli kwamba kila jambo liwe baya au zuri limepangwa na Mungu

marcs

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2016
Posts
1,066
Reaction score
573
Limepanga na mungu!!!


Kuna usemi usemao kwamba kila jambo baya au zuri limepangwa na mungu na hasa kwa dini ya kislamu naomba mtujuze au tupate majibu ya neno hili

Kuna neno hili mungu humpa amtakae na kumnyima amtakaye
Je huu ni ukweli kwamba anampa huyu na kumnyima huyu

Kwa nn iwe hivyo kama ndo hivyo bac mungu ana upendeleo na ubaguz

Kunaweza kutokea ajari lakini utasikia mwenyez mungu kapanga iwe hivyo
Je kweli mungu anahuska ktk ajari vifo etc kama ni hivyo je huyu ni mungu wa ukweli au
Je kweli mungu ni mkubwa kama watu wanavyosema?
Bac kama ni mkubwa kama nn je ni kama mt everest Kilimanjaro etc

Je kama ni mkubwa anaweza kuumba kitu kikubwa cha kumzidi yeye kama hawez je uwezo na ukubwa wake uko wap?
 
Hatujui una umri gani marcs ! lakini simple logic, jiulize ulivyokuwa una umri wa miaka 5 ni mambo mangapi ulikuwa huyajui, kisha ulivyofika 20 yrs. still mambo mangapi hukuyajua, tena ulipokuwa hiyo 55 yrs. mangapi ulikuwa huyajui, sasa umri uliokuwa nao ni kipi kunachokufanya uamini unajua kila kitu ? Au hata uamini unaweza ku analyze kila kitu ? Binadam bado ni kiumbe dhaifu kwa kila kitu na hata uwezo wake wa kufikiri uko very limited, kama vile mtoto wa miaka 7 kuna mambo huwezi kumuelewesha hata ufanye nini ? Same applies to you, regardless of your age ..
.
 
Siyo kweli kwamba Mungu hupanga mambo yote yanayotokea duniani. Kuna mengine tunayasababisha sisi wenyewe, pia kuna mengine yanatokea kulingana na mfumo aliouweka Mungu hapa duniani kama vile kuwepo kwa usiku na mchana au masika na kiangazi. Mfano, inasemekana UKIMWI ulitengenezwa na wanadamu, mtu ukiambiwa usifanye ngono zembe utapata ukimwi halafu wewe unaendelea kufanya ngono zembe, matokeo yake utapata ukimwi na kufariki dunia. Je, hapo Mungu anahusika vipi?
 
Huwa ni kauli ya faraja tuitoayo kuwafariji wenzetu wapatapo misukosuko ya kimaisha mfano hasara,kifo,nk.Pia matatizo ni shule ya kutufunza tuwe imara zaid tunapojifunza kupitia makosa.Ndo maana ukiona MTU kadumu kwenye ndoa au ana Mali jua kuwa amepita misukosuko mingi.
 
It was written.
Kila kinachomtokea Mwanadamu kuna sehemu kimeandikwa. Na kinatokea ili kutimiza andiko
kwa maana hii basi wale msemao wataenda motoni wameandikiwa si ndivyo..?
 
Ndio.
ndio maana kuna sehemu anasema walio Wangu ninawajua.

Na pia anasema sio kila asemae Bwana bwana anaenda Mbinguni
Kama direct wameshaandikiwa kwenda huko kuna haja gani ya uwepo wao..?
halafu jambo hili linatafsiri kuna uongo kwa kuwaambia "abishae atafunguliwa!" igizo hili!
 
Kama direct wameshaandikiwa kwenda huko kuna haja gani ya uwepo wao..?
Wapo ili wawepo watakao enda motoni.
halafu jambo hili linatafsiri kuna uongo kwa kuwaambia "abishae atafunguliwa!" igizo hili!
Kubisha ni swala LA kwanza na kufunguliwa ni swala LA Pili. Uamuzi wa kufungua hauko kwa abishaye ila uko kwa aliye ndani.
 
Kuhusu suala la physical size yaani ukubwa ni ngumu kuoanisha na tunayoyaona hasa kwa ukubwa wake. Mfano, kwa binadamu angalia size yake na skyscrapers mjini, au meli kubwa baharini, je kuzijenga hizo ilihitaji binadamu awe mkubwa sana? Haya, angalia computer au simu ya mkononi ya kwanza na sasa utaona ya sasa ina ukubwa mdogo ila ya sasa ni more efficient na effective.
 
Wapo ili wawepo watakao enda motoni.

Kubisha ni swala LA kwanza na kufunguliwa ni swala LA Pili. Uamuzi wa kufungua hauko kwa abishaye ila uko kwa aliye ndani.
Ha ha ha "wapo ili wawepo watakaoenda motoni!" faida gani anaipata huyo awaekae motoni..?
(kuwa special kwaajili ya kwenda motoni)
hii unaitafsirije wewe kama binadamu..?

swala la kubisha na kufunguliwa ni kukosha tu! kwa maana unamwambia mtu atafunguliwa halafu direct unajua ataenda motoni! hakuwa na haja ya kusema usiongope wkt yeye ni mmoja wao wa kuongopa.
 
Hapana mungu hapangi kila kitu kitokee,vitu vingi sisi ndo chanzo,7bu mungu katupatia ufaham wa mambo tofauti na wanyama.Na ndo maana kabla ya kufanya jambo unatakiwa ulipime kwanza kama ni zuri au baya.Ikitokea umejua ni baya ukalifanya kwa jeuri yako, matokeo utakayopata umeyasababisha wewe c mungu.
 
Kwa nini mungu apange mtu kwenda motoni na mwingine kwenda peponi au mbinguni bac kama ni hivyo kuna haja gani ya misikiti na makanisa c kuna aliowachagua toka mwanzo?na kama ni hivyo mungu ana upendeleo

Na kama ana upendeleo c mungu wa kweli ni wa kutengeneza watu wa uyahudini na uarabuni
 
It was written.
Kila kinachomtokea Mwanadamu kuna sehemu kimeandikwa. Na kinatokea ili kutimiza andiko
-Hamnaga kitu kama hichi mi ninavyoelewa mungu amegawa mlolongo wa maisha ya sisi binadamu mara tatu ni hivi vitu tunavyovifanya ni on our own will ila pia katika hapo kuna vitu mungu inabidi atupime (si vyote ) na hii ndo ile inaitwa mitihani ila si kila kinachotokea kwamba mungu ndo amepanga iwe hivyo hapana kuna vitu ndiyo yy hutupima narudia tena si vyote. sasa nikuulize mtu aje aibe bank halafu akuambie mungu ndo amepanga ina maana hapo atakuwa hana dhambi kwa kuwa mungu ndo amepanga iwe hivyo kingine ina maana dunia hii haina watu wenye dhambi kwa kuwa kila dhambi inayotokea ilishapangwa according to maelezo yako sasa kwa nn zikawepo hukumu simu ya mwisho kama kweli mungu ndo amepanga
 
Kama Mungu ndiye mpangaji wa kila kitu basi kusali ni dhambi na ni kupotezeana muda.
 
soma muhubiri8:9 na pia 1yohana5:19

..ukisoma nitakuhoji jambo
 
Makubaliano (huko kupanga) mlikwisha yaweka kipindi hiko inaumbwa NAFSI (Roho) ukiwa tumboni mwa MAMA YAKO ( Yeye ndie MUUMBA na MJUZI wa yote)

Unayofanya na yanayokutokea ULIMWENGUNI ni katika kupitia ama kutekeleza yale mlio wekeana AHADI.

Kifupi ni kutekeleza MKATABA ama ILANI....

Katika Imani yangu ninaamini jambo la KHERI na SHARI hupangwa na MUNGU.......

Hakuna awezae kuomba TETEMEKO......MAFURIKO ama VIMBUNGA.......
 
We kweli bogazi nikuulize unataka kuniambia kwamba mtoto anapokuwa nafisi hutokewa mungu. Na kuweka makubaliano ya mabaya na mazuri

Ndo sheikh alivyo kufundisha!!!
Je ni kweli mungu hushuka tumboni mwa mama na kufanya makubaliano na kiumbe kischo jielewa je huyo ni mungu kweli??

Sasa niambie ktk dn yako je mungu humhesabia dhambi mtu kuanzia miaka mingapi
 
Back
Top Bottom