B Baba mtata JF-Expert Member Joined Dec 6, 2012 Posts 280 Reaction score 40 Dec 15, 2012 #1 Heshma wakuu Naombeni kuuliza katika pitapita yangu nmekutana na hii kwamba mkojo unatibu vidonda vya tumbo na kwamba mtu anywe asubuhi baada ya kuamka na baada ya siku 10 anapona kabisa je ni kweli?
Heshma wakuu Naombeni kuuliza katika pitapita yangu nmekutana na hii kwamba mkojo unatibu vidonda vya tumbo na kwamba mtu anywe asubuhi baada ya kuamka na baada ya siku 10 anapona kabisa je ni kweli?
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 42,872 Reaction score 34,363 Dec 15, 2012 #2 Mkuu.@Baba mtata Mkojo ni Dawa kwa kila Maradhi sio tu maradhi ya Vidonda vya Tumbo tu kwani wewe unaumwa Maradhi ya Vidonda vya Tumbo wewe?
Mkuu.@Baba mtata Mkojo ni Dawa kwa kila Maradhi sio tu maradhi ya Vidonda vya Tumbo tu kwani wewe unaumwa Maradhi ya Vidonda vya Tumbo wewe?