Je, ni kweli kwamba Mzee Wassira aliwahi kujaribu kumtwanga makonde Tundu Lissu?

Je, ni kweli kwamba Mzee Wassira aliwahi kujaribu kumtwanga makonde Tundu Lissu?

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
Tundu Lissu amewahi kusimulia mkasa ambao alinusurika kupigwa mashumbwi na Mzee Wassira.

mkasa huo haujawahi kuthibitishwa na upande ulio huru lakini uliandikwa katika gazeti la Mwananchi.

Sasa hivi Mzee Wassira amesema anataka kurudi kwenye meza ya maridhiano lakini upande wa pili wa meza kuna uwezekano akawa amekaa Tundu Antipas Lissu.

soma habari ya mkasa huo hapa chini.

 
..Tundu Lissu amewahi kusimulia mkasa ambao alinusurika kupigwa mashumbwi na Mzee Wassira.

..mkasa huo haujawahi kuthibitishwa na upande ulio huru lakini uliandikwa katika gazeti la Mwananchi.

..Sasa hivi Mzee Wassira amesema anataka kurudi kwenye meza ya maridhiano lakini upande wa pili wa meza kuna uwezekano akawa amekaa Tundu Antipas Lissu.

..soma habari ya mkasa huo hapa chini.

Ni kweli tena ilikuwa Dodoma Bungeni Lissu alitoka nduki.
 
..Tundu Lissu amewahi kusimulia mkasa ambao alinusurika kupigwa mashumbwi na Mzee Wassira.

..mkasa huo haujawahi kuthibitishwa na upande ulio huru lakini uliandikwa katika gazeti la Mwananchi.

..Sasa hivi Mzee Wassira amesema anataka kurudi kwenye meza ya maridhiano lakini upande wa pili wa meza kuna uwezekano akawa amekaa Tundu Antipas Lissu.

..soma habari ya mkasa huo hapa chini.

Kujaribu ni kufikirika si kufanikiwa, tujadili nini hapa, kwamba alimtwanga au alitwangwa? Leta uzi mwingine wa maana.
 
Akimaliza kujaribu kupigana ni kuchapa usingizi.
images - 2025-01-18T212152.563.jpeg
 
Mdomo mrefu wa lisu ulimponza alitaka kupiga mtama akacharu!! That's Tyson 🤣
 
Tundu Lissu amewahi kusimulia mkasa ambao alinusurika kupigwa mashumbwi na Mzee Wassira.

mkasa huo haujawahi kuthibitishwa na upande ulio huru lakini uliandikwa katika gazeti la Mwananchi.

Sasa hivi Mzee Wassira amesema anataka kurudi kwenye meza ya maridhiano lakini upande wa pili wa meza kuna uwezekano akawa amekaa Tundu Antipas Lissu.

soma habari ya mkasa huo hapa chini.

Kumbe ndio maana akaitwa Tyson?
 
Tundu Lissu amewahi kusimulia mkasa ambao alinusurika kupigwa mashumbwi na Mzee Wassira.

mkasa huo haujawahi kuthibitishwa na upande ulio huru lakini uliandikwa katika gazeti la Mwananchi.

Sasa hivi Mzee Wassira amesema anataka kurudi kwenye meza ya maridhiano lakini upande wa pili wa meza kuna uwezekano akawa amekaa Tundu Antipas Lissu.

soma habari ya mkasa huo hapa chini.

Yaani kwa uropokaji wa Lissu, mimi ningelikuwa karibu nae, sio tu ningemtishia bali ningeliishamchapa makofi zamani!!!
 
Back
Top Bottom