Je, ni kweli kwamba sodium benzoate inasababisha saratani ya damu?

Je, ni kweli kwamba sodium benzoate inasababisha saratani ya damu?

Nomadix

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2025
Posts
2,411
Reaction score
6,646
Habarini
Nauliza kama ni kweli kiambata(ingredient) sodium benzoate kilichomo kwenye vipodozi,vyakula na vinywaji hasa soda na energy drinks, kinasababisha saratani ya damu?
===============
Moderator Active Naomba title isomeke "Je, ni kweli soda na vinjwaji vya energy vinasababisha saratani?"
 
📌📌

IMG_1882.jpeg


IMG_1883.jpeg


IMG_1884.jpeg
 
Habarini
Nauliza kama ni kweli kiambata(ingredient) sodium benzoate kilichomo kwenye vipodozi,vyakula na vinywaji hasa soda na energy drinks, kinasababisha saratani ya damu?

Cc: Cookie & DR Mambo Jambo
Mimi nikisikia tu hiki kitu “energy drink” hata kitengenezwe wapi na nani akili zangu moja kwa moja zinaniambia ni kinywaji mfano wa sumu so hakitakosa madhara.
 
Mimi nikisikia tu hiki kitu “energy drink” hata kitengenezwe wapi na nani akili zangu moja kwa moja zinaniambia ni kinywaji mfano wa sumu so hakitakosa madhara.
haha dah sema wanatumia tu watafanyaje sasa, japo nasikia wanazidisha ingredients kama hio sodium benzoate au potassium benzoate.
 
Mimi nikisikia tu hiki kitu “energy drink” hata kitengenezwe wapi na nani akili zangu moja kwa moja zinaniambia ni kinywaji mfano wa sumu so hakitakosa madhara.
Kitu hufahamu nikuwa, karibu kila kinywaji huwa kinahifadhiwa na sodium benzoate au pottasium. Kwaiyo kma utasema energy uweke mbali afu utumie vunywaj vibgine kama majuis nk hakuna ulichokwepa.
 
Sodium benzoate kumbe ni benzoic acid!!!
 
Kitu hufahamu nikuwa, karibu kila kinywaji huwa kinahifadhiwa na sodium benzoate au pottasium. Kwaiyo kma utasema energy uweke mbali afu utumie vunywaj vibgine kama majuis nk hakuna ulichokwepa.
mkuu kwani hamna mbadala wa namna ya kuhifadhi hivyo vinywaji bila kutumia chemicals?
 
mkuu kwani hamna mbadala wa namna ya kuhifadhi hivyo vinywaji bila kutumia chemicals?
Mbadala upo sana tuu, ila maranyingi hii ni nyepesi sana. Maana benzoic acid hata maabara za kawaida unaweza tengenzeza. Kwa waliosoma masomo ya kemia wanajua inavyotengenzwa. Ila njia zingine za kuhifadhi ni gharama sana, na kama ujuavyo bongo vitu vyepes ndio vinatakiwa.
 
Mbadala upo sana tuu, ila maranyingi hii ni nyepesi sana. Maana benzoic acid hata maabara za kawaida unaweza tengenzeza. Kwa waliosoma masomo ya kemia wanajua inavyotengenzwa. Ila njia zingine za kuhifadhi ni gharama sana, na kama ujuavyo bongo vitu vyepes ndio vinatakiwa.
Upo sahihi
 
Mbadala upo sana tuu, ila maranyingi hii ni nyepesi sana. Maana benzoic acid hata maabara za kawaida unaweza tengenzeza. Kwa waliosoma masomo ya kemia wanajua inavyotengenzwa. Ila njia zingine za kuhifadhi ni gharama sana, na kama ujuavyo bongo vitu vyepes ndio vinatakiwa.
hakika ndio hivyo mkuu
 
Back
Top Bottom