Godfrey Mwaja
Member
- Oct 15, 2010
- 24
- 0
sasa wataka kufaam au maelezo kiundani???
kwa ufupi mahanga ndo mshindi
hilo lisikupe shaka nipe majibu na unachofahamu juu ya hilo.Kijana kwanza karibu jamvini na humu sio kila unachowaza ukitengenezee thread what is maboc?
usiwe mvivu wa kufikiri cjauliza mm mshindi nani, nimeuliza kitu kingine we unaniambia kingine, kama huna la kuongea piga kimyaasasa wataka kufaam au maelezo kiundani???
kwa ufupi mahanga ndo mshindi