zhang laoshi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 434
- 581
Habari wadau,
Nimelipata sehemu hili kuwa maji yanayotoka kwenye AC za maofisin na majumbani ni bora zaidi na yanasaidia kupoza vizuri injini ya gari vizuri zaidi.
Wajuzi mnijuze.
Asante.
Nimelipata sehemu hili kuwa maji yanayotoka kwenye AC za maofisin na majumbani ni bora zaidi na yanasaidia kupoza vizuri injini ya gari vizuri zaidi.
Wajuzi mnijuze.
Asante.