Je, ni kweli majina yanaathiri tabia?

mmmmmh kama unataka kunipa moyo vilee??
ok!
"the boss", mwenzio nyota inang'aa huku kwa neema huyu, sijui wewe na namba uliyopewa na asha d.....

asha d mieyeyusho
wivu unamsumbua...
 

daahhh safi sana dear
 
asha d mieyeyusho
wivu unamsumbua...


LOL...TB tumepanga miadi vizuri alafu unaniita miyeyusho tena, yule mtoto anabadilisha # kila siku, leo nimefanya kazi ya kuifuatilia... nimeahirisha sikupi!
 
lol...tb tumepanga miadi vizuri alafu unaniita miyeyusho tena, yule mtoto anabadilisha # kila siku, leo nimefanya kazi ya kuifuatilia... Nimeahirisha sikupi!

umeona hapo wivu unavyokusumbua..
Usiponipa nitahamia kwako....maana si bure....lol
 
wanasayansi wa lugha wanaamini kuwa hakuna uhusiano kati ya neno na kilejelewa chake. Lakini tofauti nao wanasaikolojia wao wanaamini kuwa majina yanaweza kusababisha tabia ya watu. binafsi naamini katika wanasaikolojia katika hili. Nimekuwa na uhusiano na wasichana watatu tofauti katika nyakati tofauti. wote wanaitwa Happy, kwa hiyo kwangu msichana akiitwa Hapy najua huyo wangu. Kutokana na hali hiyo nakubali kuwa majina yanaathiri tabia
 

happy huwa hawakatai wanaume
 
wanasayansi wa lugha wanaamini kuwa hakuna uhusiano kati ya neno na kilejelewa chake. Lakini tofauti nao wanasaikolojia wao wanaamini kuwa majina yanaweza kusababisha tabia ya watu. binafsi naamini katika wanasaikolojia katika hili. Nimekuwa na uhusiano na wasichana watatu tofauti katika nyakati tofauti. wote wanaitwa Happy, kwa hiyo kwangu msichana akiitwa Hapy najua huyo wangu. Kutokana na hali hiyo nakubali kuwa majina yanaathiri tabia


Edit Post
Reply
Reply With Quote
 
dahhh
umenifanya ni "Google" jina langu lol
ningekuwa nusu ya jinsi jina langu linavyo sema
ningekuwa mbali sana katika maisha yangu ..
kwa hiyo inabidi nikatea..
 
OF course broh inawezekana ikawa 2tru coz nilipoxoma text yako zen jinz NEEMA i can assure u on ma side i do loved wiz NEEMA yaani hakuna NEEMA nitakaye face naye asinikubali na km c chin ya 5 wameniaproach at different places mpk nikasema ntaoa NEEMA aiseee xo names yana mata
 
kwa hao wengine sina uhakika sana ila kweli hili jina Neema wana mapozi ucpime!
 

mmmh mkuu hapo nilipogogomea msumari nina wasiwasi napo, hawa wengi wao ni wale naopenda sana kale Kamchezo ka kuingia na kutoka!
 
wengi wenye majina ya leila wana sura nzuri,huwa ni wazuri hasa

Mi nilikuwa nae Leila alikuwa anatupanga wanaume kama foleni na hawezi kukupa nje ya nyumbani kwake lazima ukalale kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…