Tetesi: Je, ni kweli majini/mashetani huogopa Nguruwe?

Sio kila mtu a najua kingereza bhana [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Hizo huwa ni chai tu mkuu, wakati wa Yesu alipomtoa pepo yule jamaa aliyekuwa nayo akiishi makaburini yalimuomba yawaingie nguruwe na akayaruhusu kwa hiyo hayaogopi mfupa wa huyo mnyama najisi

Yanamuogopa Kristo Yesu pekee
 
Hakuna kitu hapo, watu huku mitaani wakianza kuamka wamepigwa chale au kuamka miguu michafu wanakimbiliaga mifuoa ya nguruwe ila shida inaendelea.

Achana kabisa na kitu kinaitwa uchawi.
😁😁 Uchawi mbonw Ni kitu simple sana na unadhibitika kijinga sana . you can't blv
 
unazungumzia majini ya zamani au ya siku hizi mkuu?!maanake ya siku hizi yanafuga na yanakula hasa rosti na ndizi za kukaanga
😁😁😁😁 Kmmk
 
Ni msokoto wa ganja si mfupa wa nguruwe
 
Kuhakikisha kazi rahisi tu mtafute mtu mwenye lakini noise nyama ya nguruwe maskini yatakimbia na kumuacha


Mla nguruwe ni vigumu kuvamiwa na lakini ndio maana wenye lakini wengi wanaovamiwa ni waislami ambao huwa Hawaii nguruwe
 
Sasa kama Jini/Shetani anakula kitimoto?
 
Kuhakikisha kazi rahisi tu mtafute mtu mwenye lakini noise nyama ya nguruwe maskini yatakimbia na kumuacha


Mla nguruwe ni vigumu kuvamiwa na lakini ndio maana wenye lakini wengi wanaovamiwa ni waislami ambao huwa Hawaii nguruwe
Na wale wala nguruwe wanaovamia na mapepo wanaanguka kanisani kila siku?
Acha kuamini upupu.
 
Hapana majini wanawapenda Hawa viumbe kuwakaa katika miili yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…