Bandu Ncheche
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 512
- 326
Mara nyingi nimekuwa nikisikia kwamba ,endapo mwanamke atakuwa katika siku zake za hatari,Kama akishiriki tendo takatifu bila kinga na endapo wakati wa tendo akafikishwa kileleni basi yale manii yake yanaondoa uwezekano wa kupata mimba eti kwasababu manii ya mwanamke ni kama maji ya limau,yanaenda kuuwa mbegu za kiume,je lina ukweli wowote wa kitaalamu hili?
Jambo la pili,je ni kweli uwezekano wa mwanamke kupata mimba kwa haraka unategemea damu za wahusika?inasemekana Kama damu zao haziendani wanaweza wakashiriki tendo la ndoa katika zile siku zote za hatari na mimba isiingie,na inawezekana ikatokea mwanamke huyohuyo akashirikiana na mwanaume mwingine tofauti siku moja tu na mimba ikaingia,je lina ukweli hili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo la pili,je ni kweli uwezekano wa mwanamke kupata mimba kwa haraka unategemea damu za wahusika?inasemekana Kama damu zao haziendani wanaweza wakashiriki tendo la ndoa katika zile siku zote za hatari na mimba isiingie,na inawezekana ikatokea mwanamke huyohuyo akashirikiana na mwanaume mwingine tofauti siku moja tu na mimba ikaingia,je lina ukweli hili?
Sent using Jamii Forums mobile app