Je, ni kweli matokeo ya DNA hudanganywa kupunguza mayatima ?

The only

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
10,805
Reaction score
14,181
Nataka kujua huu ni uongo au ukweli tetesi hizi zililetwa na nini,maana kuna watu huwa hawaamini Tanzania wanaenda Kenya ,aidha mniambie ni hospital gani wakweli juu ya hili kuna rafiki yangu anahisi kuna kademu kamemtumbua jipu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…