chriss cr Tz
Member
- Jun 20, 2017
- 24
- 15
Mkuu upo brazil?mbona sisi brazil tulimwacha romario na kumchukua Delima ronaldo?
Kweli kabisa lkn ngojea tusbr tuone siku ya mechi itakuajeHuyu Mayanga hajitambui ukiacha Mkude bora hata Buswita kuliko Ulimwengu asiye na timu.
Pa1 mkuuTunaheshimu maamuzi ya Mwalimu Mayanga.Kama ana jambo lake nje ya soka, basi Mungu anaona.
Dah sawa wa Brazil muache T.silva mchukue luizmbona sisi brazil tulimwacha romario na kumchukua Delima ronaldo?
Sawa mbrazil muache T. Silva mchukue luizmbona sisi brazil tulimwacha romario na kumchukua Delima ronaldo?
Gadiel hamna kitu kabisaMikia Mkude amewaumaaaa..kuna Makame Wa Zanzibar heroes hatari..viungo wote wanzanzibar Banka,Makame,Mudathir,Faisal toto..mbele Samatta,Msuva...kapombe,Gadiel,Banda,Yondani..kipa Aisha..