Tetesi: Je ni kweli Mchungaji Moses Magembe kajiondoa Kanisa la Tanzania Assemblies of God ?

Tetesi: Je ni kweli Mchungaji Moses Magembe kajiondoa Kanisa la Tanzania Assemblies of God ?

Shotocan

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
6,650
Reaction score
12,711
Kuna taarifa mitaani zinazagaa kuwa Mchungaji Moses Magembe wa Tanzania Assemblies of God kajiondoa mwenyewe kwenye hilo kanisa kuendelea na maono yake kwingine

Je taarifa hizo ni kweli?
 
Kuna taarifa mitaaji zinazagaa kuwa Mchungaji Moses Magembe wa Tanzania Assemblies of God kajiondoa mwenyewe kwenye hilo kanisa kuendelea na maono yake kwingine

Je taarifa hizo ni kweli?
kama kaona TAG imepoteza uelekeo ni bora ajitoe tu akasimamie maono yake
 
Taarifa zilizopo ni uongozi wa TAG kumfukuza mchungaji mmoja asiyejulikana sana anaitwa Majembe ambapo taarifa hizo zikageuzwa na watu kimakosa na kusambazwa na watu kuwa Mchungaji Maghembe (ndio anayejulikana sana) kuwa kafukuzwa.

Upande wa pili, ni taarifa za kudai mchungaji Maghembe kajitoa TAG na kuanzisha kanisa lake. Hizi hazijulikani chanzo chake na mpaka sasa hazina uthibitisho.
 
Taarifa zilizopo ni uongozi wa TAG kumfukuza mchungaji mmoja asiyejulikana sana anaitwa Majembe ambapo taarifa hizo zikageuzwa na watu kimakosa na kusambazwa na watu kuwa Mchungaji Maghembe (ndio anayejulikana sana) kuwa kafukuzwa.

Upande wa pili, ni taarifa za kudai mchungaji Maghembe kajitoa TAG na kuanzisha kanisa lake. Hizi hazijulikani chanzo chake na mpaka sasa hazina uthibitisho.
Acha wafu wazikane wenyewe
 
Taarifa zilizopo ni uongozi wa TAG kumfukuza mchungaji mmoja asiyejulikana sana anaitwa Majembe ambapo taarifa hizo zikageuzwa na watu kimakosa na kusambazwa na watu kuwa Mchungaji Maghembe (ndio anayejulikana sana) kuwa kafukuzwa.

Upande wa pili, ni taarifa za kudai mchungaji Maghembe kajitoa TAG na kuanzisha kanisa lake. Hizi hazijulikani chanzo chake na mpaka sasa hazina uthibitisho.
Huyo Mch Majembe amekengeuka kitu gani hadi viongozi wakanisa kuamua kumfukuza?
 
Promo za kibwege

Malizaneni hukohuko kanisani
 
Huyo Mch Majembe amekengeuka kitu gani hadi viongozi wakanisa kuamua kumfukuza?
sasa wakubwa wao wanakengeuka, hao wadogo si ndio balaa? Wakubwa wameacha mafundisho ya mwanzo kukemea dhambi na kutubisha wenye dhambi. Watu wanajiingilia tu kanisani na dhambi zao wala hawakemewi kama zamani
 
  • Thanks
Reactions: K11
sasa wakubwa wao wanakengeuka, hao wadogo si ndio balaa? Wakubwa wameacha mafundisho ya mwanzo kukemea dhambi na kutubisha wenye dhambi. Watu wanajiingilia tu kanisani na dhambi zao wala hawakemewi kama zamani
Kanisa (Ukristo) kwa ujumla linapitia kipindi kigumu.

Ukiingia kwenye haya makanisa yanayojiita waenda Mbinguni, tofauti na kujiita wenyewe watakatifu lakini matendo yao yanawasaliti.

Umalaya wa waziwazi, unafiki, uoga wa kukemea dhambi ili maokoto yasiote mbawa, usengenyaji na mengine mengi yanayofanana na hayo yametamalaki tele kanisani.

Kwa sasa kila kiongozi akijiona huduma yake imekuwa maarufu, anaanza au anaanzishiwa songombingo na uongozi wake wa juu.
 
Back
Top Bottom