Je ni kweli, men have a problem, lazima waangalie

mmoja juzi alisimamisha gari ili dada avuke barabara na akasema wazi aalitaka tu kumtazama na roho yake itaridhika......
mna shughuli viumbe nyie.......

Hapo kwenye red I would have done the same, sio kwa sababu ya kuangalia na kufurahia uumbaji, la hasha, bali ningefanya hivyo as a defensive and considerate driver!
 
Hapo kwenye red I would have done the same, sio kwa sababu ya kuangalia na kufurahia uumbaji, la hasha, bali ningefanya hivyo as a defensive and considerate driver!

vaisi vesa ni sahihi hapo......huwezi kubisha kwa kuwa naweza kuthibitisha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…