Je, ni kweli mihogo mibichi huongeza uzalishaji wa manii mwilini?

Je, ni kweli mihogo mibichi huongeza uzalishaji wa manii mwilini?

ashidodi

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2016
Posts
291
Reaction score
340
Habari za humu ndani jamani, naomba msaada wa kitaalam kwahili, Je?,Nikweli ukitafuna mihogo mibichi au karanga huongeza uzakishaji wa mbegu za kiume (manii) mwilini?
 
Manii,za kiume na kike zinaongezwa na protini.

Protini ya mimea kama Karanga,korosho,mchele ,nazi,na mbegu zote za mimea.

Waswahili kwa kukosa elimu kabla ya kutombana anakula mihogo anahis mbegu zutatengenezwa mda huo huo,uongo mtupu.

Ccm wanatumia mbinu ya kuwanyima elimu ili muhangaike.

Poleni sana endeleeni kuhangaika na mihogobwakati wenxenu wazungu wametua sayari ya Mars na wanasonga mbele
 
Habari za humu ndani jamani, naomba msaada wa kitaalam kwahili, Je?,Nikweli ukitafuna mihogo mibichi au karanga huongeza uzakishaji wa mbegu za kiume (manii) mwilini?
UWONGO WANAWADANGANYA WATU HAO
 
hata ule gunia zima la mihogo hakuna kitu.
Ila karanga kuwa zinamchango wa kuufanya ubongo kuwa active kwa tendo la ndoa maana zina magnesium nyingi, ila sio kwamba ndio ule siku ya tendo, iwe ni kama sehemu ya chakula chako
Habari za humu ndani jamani, naomba msaada wa kitaalam kwahili, Je?,Nikweli ukitafuna mihogo mibichi au karanga huongeza uzakishaji wa mbegu za kiume (manii) mwilini?
 
Tatizo watanzania tunapenda Kuamini Kabla Ya Kufanya Utafiti .. Mkuu ni simple sana Kujua Vyakula Gani vinaongeza uzalishaji wa Mbegu

Tafuta Google Vyakula Vyenye Cholesterol (Yes cholesterol). Hivyo ndivyo vinaongeza Mbegu maana Mbegu nyingi zinahitaji Kirutubisho hiko

Kama Mihogo inayo basi Kula
 
hata ule gunia zima la mihogo hakuna kitu.
Ila karanga kuwa zinamchango wa kuufanya ubongo kuwa active kwa tendo la ndoa maana zina magnesium nyingi, ila sio kwamba ndio ule siku ya tendo, iwe ni kama sehemu ya chakula chako
Karanga pia maganda yake yana zinc ambayo ni kitu muhimu kwenye utengenezwaji wa testosterone
 
hata ule gunia zima la mihogo hakuna kitu.
Ila karanga kuwa zinamchango wa kuufanya ubongo kuwa active kwa tendo la ndoa maana zina magnesium nyingi, ila sio kwamba ndio ule siku ya tendo, iwe ni kama sehemu ya chakula chako
Kwa hyo mkuu karanga si inaweza sababisha mtu akawa anawahi kukojoa ikiwa tu ataliza kwa uwingi?
 
Habari za humu ndani jamani, naomba msaada wa kitaalam kwahili, Je?,Nikweli ukitafuna mihogo mibichi au karanga huongeza uzakishaji wa mbegu za kiume (manii) mwilini?
Technique za wauza mihogo kupiga hela,hakuna kitu kama hiko.
 
Tatizo watanzania tunapenda Kuamini Kabla Ya Kufanya Utafiti .. Mkuu ni simple sana Kujua Vyakula Gani vinaongeza uzalishaji wa Mbegu

Tafuta Google Vyakula Vyenye Cholesterol (Yes cholesterol). Hivyo ndivyo vinaongeza Mbegu maana Mbegu nyingi zinahitaji Kirutubisho hiko

Kama Mihogo inayo basi Kula
Sio cholesterol, Ni testosterone mkuu
 
Mihogo ina zink nyingi hivyo inashauriwa wanaume kwa wake kula mihogo mara kwa mara!
Hiyo ndivyo ilivyo !
 
Back
Top Bottom