wiseman734
Senior Member
- Apr 29, 2018
- 137
- 210
Kuna biological factors mkuu wanguKwa hiyo baridi la asubuhi linasaidia kufanya genes improvement au alikuwa anamaanisha nini?
*Nadhani kitu muhimu ni kujiepusha na mambo yanayoharibu nature ya sperms zetu.
*Kufanya crossing na mtu sahihi kwa wakati sahihi.
*Kingine ni kuwa wastaarabu tu kwenye mambo hayo. Ukisikiliza kila story utafanya kila uendawazima. Maana mwingine alikuja na story zake kuhusu styles ha ha aaa.
Yeye anaingiza pesa kwa kuandaa kipindi na ukamsikiliza.
Taja moja inayofanya kazi alfajiri na siyo muda mwingineKuna biological factors mkuu wangu