Miafrica shida sana sijui tulilogwanilitaka kushangaa hawa wakenya wametoa wapi uwezo wa kufanya counter terrorism? kumbe walisaidiwa na mabeberuuuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Miafrica shida sana sijui tulilogwanilitaka kushangaa hawa wakenya wametoa wapi uwezo wa kufanya counter terrorism? kumbe walisaidiwa na mabeberuuuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kabisa poleni sana majirani zetu Kenya.
Leo kumeibuka habari nyingi kuhusiana na shambulizi la kigaidi lililotokea jana nchini Kenya.
Gumzo kuu, ni kutajwa kwa Mossad katika ushiriki wa mstari wa mbele katika mapambano ya jana ya vikosi vya serikali dhidi ya Al Shabaab. Hii imekuja wakati ambao KDF inapokea sifa kemkem kwa uwezo wao wa kusambaratisha magaidi hayo ya jana hapo Nairobi.
Inaelezwa kuwa 80% ya misheni hiyo ya kupambana na magaidi hao jana na leo imefanywa na Mossad kwa niaba ya vikosi vya Serikali. Kuna baadhi ya picha mtandaoni zikionesha Mossad wakiwa katika uwanja wa mapambano.
Je ukweli upoje?
Sent using iPhone X
Special Air Service ni kati ya vikosi katika jeshi la Uingereza
Kwahiyo unashauri nini?Waswahili hatujiamini kabisa
Wakishinda KDF wameshinda Mossad
Wakishindwa KDF wameshindwa KDF
Katika tukio la Westgate Wayahudi wa Mossad waliitwa Na wakafika kwa wakati lakin wakashindwa kuokoa chochote leo Wakenya wameweza tunataka sifa apewe Mwingine
Yale Yaleeeeeee , Tukishinda Sifa kwa Mganga, tukifungwa Lawama kwa Kocha
Ok mkuu.Special Air Service ni kati ya vikosi katika jeshi la Uingereza
Kazi yao ni kupambana na ugaidi mahali popote duniani
Wana mafunzo ya hali ya juu kabisa ndio maana huyo jamaa wa SAS alishiriki kikamilifu na kuongoza kuwatoa watu na kuwapanga wanajeshi kwa kuvamia na kuuwa
Hawa SAS ni hatari sana
Sent from my SM using Tapatalk
Hata mimi nilijiuliza sana baada ya kuona picha zake.....Nimeisoma hiyo article naona jamaa anasifiwa mwanzo mwisho lakini kuna maswali mengi tu
Mojawapo ni hili imekuwaje awe kwenye right place at opportune time with all his kits au ndio instincts zenyewe ama la Wazungu walishalisoma tukio lenyewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Google pls.
Hahahaaanilitaka kushangaa hawa wakenya wametoa wapi uwezo wa kufanya counter terrorism? kumbe walisaidiwa na mabeberuuuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii picha inaniacha Hoi aiseeeeeKwaiyo hapa walikuwa msitari wa nyuma
View attachment 996562