Je, ni kweli mtu anaweza akanywa pombe na vidonge vya viagra..

Je, ni kweli mtu anaweza akanywa pombe na vidonge vya viagra..

Mkuu naomba
Nafikiri huwa unasomaga au kuona Nyuzi humu za Vidume vilivyokumbana na mauti katika nyumba za wageni!
Achana na huo mchezo tafadhali.
Aj
Nafikiri huwa unasomaga au kuona Nyuzi humu za Vidume vilivyokumbana na mauti katika nyumba za wageni!
Achana na huo mchezo tafadhali.

Asante kwa mawazo yako..lakini mkuu naomba majibu ya kitaalam
 
Kwanini usinywe? Kunywa tu wala hakuna madhara (Kuna Mwl wangu aliwahi kuniambia kuwa ukimeza sumu hautajua kama ina madhara maana utakuwa haupo)
Haaahaaaa ukinijibu kitaalam utakua umesaidia na watu wengine
 
Tena ukinywa pombe aina 'valuer' itakuwa vizuri zaidi maana blood pressure itakuwa 'very high' huku 'mkuyenge' ukiwa umedinda to the maxmum masaa yasiyopungua nane!
 
Ninavyojua viagra ni dawa inayowasaidia watu wenye matatizo ya kusimamisha

Lakini kwa wengine wanatumia wanavyojua wao
Hivyo basi kuchanganya kinywaji cha pombe na viagra sio sahihi kabisa na inaweza kusababaisha usifanye kitu (kwa wenye matatizo)
Unaweza kunywa glass ya wine au bia moja tu na sio ziada (kitaaluma zaidi) maana mimi sio mnywaji
 
Yes, anaweza akanywa na matokeo lazima yawepo.....cha msingi wataalam tutaangalia alikunywa akiwa na ukichaa au timamu. ..then tutatoa maoni, mengine atamalizana na Sir God kama atapendwa zaidi[emoji848][emoji41]
 
Kwa kifupi kuna dawa ambazo zina muingiliano wa moja kwa moja na pombe na huweza kusababisha madhara makubwa hata kifo ukitumia pamoja na pombe, mfano wa hiyo dawa ni flagyl/metronidazole dawa ambayo wengi tumeshaitumia na tunaijua.

Kwa upande wa dawa ya Viagra haina uhusiano wa moja kwa moja na muingiliano na pombe, kwa muingiliano inamaanisha drug interaction.

Kutokuwepo kwa muingiliano wa moja kwa moja kati ya pombe na dawa isiwe sababu ya kigezo cha kutumia dawa na pombe, sababu matumizi ya pombe yanaweza yakasababisha matumizi yasiyo sahihi ya dawa( irrational use of drug), au kupelekea maamuzi yasiyo mazuri wakati unatumia dawa.

Ngoja nikupe historia fupi ya jinsi viagra ilivyogundulika hadi kupelekea matumizi yake mpaka sasa.
Zamani kulikuwa dawa iliyoitwa sildenafin citrate na ilikuwa inatibu na wanapewa wagonjwa/wateja wenye tatizo la shinikizo la juu la damu( high blood pressure), kilichotoke wale waliokuwa wanatumia hiyo dawa ambayo ndio ilikuja kujulikana kama Viagra ni kwamba walipata maudhi madogo ya mboo kudinda isivyo kawaida kwa wagonjwa/wateja wanaume.
Kwa hiyo wengi waliopewa dawa hii kutibu presha iliwasaidia kushuka presha ila pia mlingoti ulikuwa ukisimama isivyo kawaida, baadae wataalamu wakaona hayo maudhi madogo/side effect yanaweza yakawa na faida kwa wanaume wenye matatizo ya kudindisha( Erectile dysfunction syndrome). Ndivyo ilivyokuwa kwa kifupi.

Turudi kwenye mada ili mboo/mlingoti/mshedede/mkuyenge uweze kudinda ipasavyo inahitajika mishipa ya damu ipate kwa wingi mzunguko wa damu wa kutosha na ndio mashine inasimama dede, kinachofanya viagra ni kusaidia mzunguko wa damu sehemu zile za kichwa cha chini kuwa mkubwa na kupelekea mdude kusimama, athari inayoweza kutokea ni kuwa kwa kuwa viagra ina weza kushusha presha ikitumiwa na kiasi kikubwa cha pombe inaweza ikapelekea presha kushuka isivyo kawaida( low blood pressure) ambayo inaweza ikasababisha madhara hata kuhatarisha maisha hasa wenye matatizo ya presha.

Wajuzi wengine watajazia nyama
 
Both viagra and alcohols tend to lower blood pressure, matokeo yake ni kuzimia na heart palpitation
 
Shukrani mkuu
Ninavyojua viagra ni dawa inayowasaidia watu wenye matatizo ya kusimamisha

Lakini kwa wengine wanatumia wanavyojua wao
Hivyo basi kuchanganya kinywaji cha pombe na viagra sio sahihi kabisa na inaweza kusababaisha usifanye kitu (kwa wenye matatizo)
Unaweza kunywa glass ya wine au bia moja tu na sio ziada (kitaaluma zaidi) maana mimi sio mnywaji

Shukrani mkuu majibu yako yameeleweka vizuri sana
 
Kwa kifupi kuna dawa ambazo zina muingiliano wa moja kwa moja na pombe na huweza kusababisha madhara makubwa hata kifo ukitumia pamoja na pombe, mfano wa hiyo dawa ni flagyl/metronidazole dawa ambayo wengi tumeshaitumia na tunaijua.

Kwa upande wa dawa ya Viagra haina uhusiano wa moja kwa moja na muingiliano na pombe, kwa muingiliano inamaanisha drug interaction.

Kutokuwepo kwa muingiliano wa moja kwa moja kati ya pombe na dawa isiwe sababu ya kigezo cha kutumia dawa na pombe, sababu matumizi ya pombe yanaweza yakasababisha matumizi yasiyo sahihi ya dawa( irrational use of drug), au kupelekea maamuzi yasiyo mazuri wakati unatumia dawa.

Ngoja nikupe historia fupi ya jinsi viagra ilivyogundulika hadi kupelekea matumizi yake mpaka sasa.
Zamani kulikuwa dawa iliyoitwa sildenafin citrate na ilikuwa inatibu na wanapewa wagonjwa/wateja wenye tatizo la shinikizo la juu la damu( high blood pressure), kilichotoke wale waliokuwa wanatumia hiyo dawa ambayo ndio ilikuja kujulikana kama Viagra ni kwamba walipata maudhi madogo ya mboo kudinda isivyo kawaida kwa wagonjwa/wateja wanaume.
Kwa hiyo wengi waliopewa dawa hii kutibu presha iliwasaidia kushuka presha ila pia mlingoti ulikuwa ukisimama isivyo kawaida, baadae wataalamu wakaona hayo maudhi madogo/side effect yanaweza yakawa na faida kwa wanaume wenye matatizo ya kudindisha( Erectile dysfunction syndrome). Ndivyo ilivyokuwa kwa kifupi.

Turudi kwenye mada ili mboo/mlingoti/mshedede/mkuyenge uweze kudinda ipasavyo inahitajika mishipa ya damu ipate kwa wingi mzunguko wa damu wa kutosha na ndio mashine inasimama dede, kinachofanya viagra ni kusaidia mzunguko wa damu sehemu zile za kichwa cha chini kuwa mkubwa na kupelekea mdude kusimama, athari inayoweza kutokea ni kuwa kwa kuwa viagra ina weza kushusha presha ikitumiwa na kiasi kikubwa cha pombe inaweza ikapelekea presha kushuka isivyo kawaida( low blood pressure) ambayo inaweza ikasababisha madhara hata kuhatarisha maisha hasa wenye matatizo ya presha.

Wajuzi wengine watajazia nyama

Thread closed mkuu asante sana
 
Yani unataka raha mara mbili sio?

Unataka ulewe na papuchi ule sio?

Nakushauri ufanye kimoja, la sivyo hautafanya chochote.

Utakuja kushtuka ukiwa kwenye foleni ya kuingia jehanam!
 
Back
Top Bottom