Hana mtoto
[emoji15] [emoji15] [emoji15] punguza ukali wa maneno rafiki!!! Eti!?? Kwani unauhakika wa hayo unayoyasema??? Na unafikiri wote wenye vitambi wanakaa mjini????Hiyo nayo ni shida....hapo tu hana mtoto wala watoto na ana mtambi kama huo....akishazaa je? Aisee huyo ni wa kumuachia mbali mpaka apunguze kitambi. Kwani alikuwa hajioni mtambi unakua? Uzembe mwingine bwana. Inaelekea huyu ni wale mademu wafakamiaji vyakula, unampa ofa anafikiri kesho hatoiona, anakula mpaka unamkimbia.
Maana nilianza kuwa na wasiwasiHamna
naombeni dictionary ya Swahili pleaseA round of applause to all slim ladies out there!
Ndio we mai festi klash. Kila wakati nimejawa woga tu.Wasi was I wa nini??? Ulihisi ndiyoo umeachikaa???
[emoji15] [emoji15] [emoji15] punguza ukali wa maneno rafiki!!! Eti!?? Kwani unauhakika wa hayo unayoyasema??? Na unafikiri wote wenye vitambi wanakaa mjini????
Na unajua anakitambi kiasi gani au kikoje???
Km unachakushauri shauri hayo mengine sidhani km yana maana kwa sasa?;!!!!
Walinifitini nikabanikwa nimefunguluwa sahivi.Vipi mbn naona banned
Walinifitini nikabanikwa nimefunguliwa sahivi.Vipi mbn naona banned
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji57] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Ameshasema demu ana kitambi zembe kwa kuwa hana watoto. Mtu hajazaa na mtambi huo, si ni uzembe huu? Nyie kina Mama wengine mnajifukuzia wanaume wenyewe, shauri yenu. Jitunzeni na kujiheshimu mtapata anayewahusudu.
Nakupenda asali yanguTeh teh punguza uwoga mie wako
[emoji7]Nakupenda pia mpnz.....
..bby nikiona tu mwandiko wakoo na hiyo avatar mwili unanisisimka kweli
Mahaba yako yamenikolea kisawasawa. [emoji39] [emoji39] [emoji39][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mmmmmh sweety kwanini usahauu????[emoji8]