Mechanic 97
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 854
- 1,296
Huo ukanda Una makaa ya mawe na chuma, kwahiyo hakuna la kukufanya utilie Shaka.Wakuu nimesoma report ya upatikanaji wa madini mkoani Ruvuma.
Nimesoma nikaona Kwamba madini ya chuma yanapatikana katika Kijiji cha Mtonya Wilayani namtumbo je wenyeji wa namtumbo yaliyo andikwa ni kweli yamo
Asante mkuu ila nilishawahi kusikia kua chuma na makaa ya mawe huwa havikai pamoja au karibu na chuma ila liganga na mchuchuma tu ndio yako jiraniHuo ukanda Una makaa ya mawe na chuma, kwahiyo hakuna la kukufanya utilie Shaka.
MINING GEOLOGY ITAsante mkuu ila nilishawahi kusikia kua chuma na makaa ya mawe huwa havikai pamoja au karibu na chuma ila liganga na mchuchuma tu ndio yako jirani
Huko mbona kilimo wako vizuri?Mantrax Toka Ukraine wapo kwenye mchakato wa kuchimba uranium huko.
Ukiona sehemu haifai kwa kilimo Mungu kaweka madini
Tumbaku wanalimaHuko mbona kilimo wako vizuri?
Tumbaku ni kilimo pia,au mimi sikuelewa hoja yako?Tumbaku wanalima
pia uranium inapatikana,,,kijiji cha likuyuWakuu nimesoma report ya upatikanaji wa madini mkoani Ruvuma.
Nimesoma nikaona Kwamba madini ya chuma yanapatikana katika Kijiji cha Mtonya Wilayani namtumbo je wenyeji wa namtumbo yaliyo andikwa ni kweli yamo
wewe ni mndendeule??Ndyo!!
Ruvuma tumebarikiw madini.
Na grafite ipo pia.Ndyo!!
Ruvuma tumebarikiw madini.
Kilimo Cha tumbakuTumbaku ni kilimo pia,au mimi sikuelewa hoja yako?
Hii nafahamu ila shukraniHata uranium ipo huko
Hiii nafahamu ila shukranipia uranium inapatikana,,,kijiji cha likuyu