Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
Kuna maneno mengi yanasema juu ya hilo.Ningependa kupata ufafanuzi wa mambo yafuatayo kuhusiana na maradhi ya NGIRI kwa wanaume.
1.Je,yanaweza sababisha uume kuwa mgogo?
2.Yana madhara gani katika tendo la ndoa mfano kukosa hamu,kuchoka nk.
Mdau Kisoda2
1.Je,yanaweza sababisha uume kuwa mgogo?
2.Yana madhara gani katika tendo la ndoa mfano kukosa hamu,kuchoka nk.
Mdau Kisoda2