Je, ni kweli p2 inazuia mimba?

Muda mwingine tumieni kondom kuepuka matumizi ya P2.

P2 zina athari nyingi sana. Ikitumiwa mara nyingi husababisha ugumba. Inafika wakati unahitaji mtoto, unaanza kusugua magoti chini kumuomba Mungu mtoto.

Mungu hana muda kushughulikia upuuzi ulioufanya mwenyewe kwa makusudi.

Fateni mzunguko au jizuieni.
 
Ina sikitisha sana kuona had umri huo ujui siku zako za hatari ni zipi.

Jifunze kwanza kutambua mzunguko wako wa hedhi na siku zako za kushika ujauzito ndio uanze kutumia ayo madude
 
Kwani wewe mwenzetu huwa unakutana na Mr wako kwa siku zipi ambazo sio za hatari?
 
sawa kiongozi asanteh kwa ushauri wako
 
Huko DM unataka kumpiga tu huyo. Kwanini usiweke hapa wengi wapate elimu?
 
Kasema anamtoto wa miezi saba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…