Je, ni kweli p2 inazuia mimba?

Sasa hapa nmepata elim kwenye huu uzi ntakua naita dem SKU mbili baada ya hedhi
Au siku ya 19 tangu aanze hedh kavu kavu tamu jaman [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Sasa hapa nmepata elim kwenye huu uzi ntakua naita dem SKU mbili baada ya hedhi
Au siku ya 19 tangu aanze hedh kavu kavu tamu jaman [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
We jichanganye tu ujui kuwa inategemea na mzunguko wake ni wasiku ngapi
 
Sasa hapa nmepata elim kwenye huu uzi ntakua naita dem SKU mbili baada ya hedhi
Au siku ya 19 tangu aanze hedh kavu kavu tamu jaman [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†xhauriyo
 
Coitus Interruptus is the best method. This will free you from the side effects and possible adverse events of frequently relying on p2.
 
Hivi ukiwa na irregular cycles siku ya pili baada ya hedhi unaweza kupata mimba?[emoji15]
Sina uhakika sana, ila mwenye irregular cycle ni rahs sana kupotea kupangilia tarehe safe na danger ... Maana siku zinabadilika badiika, mara asilate mwez mmoja, mara mwwz huu ni siku mbili the next anapata 5 days.. so vurugu vurugu kupangilia.
 
Sina uhakika sana, ila mwenye irregular cycle ni rahs sana kupotea kupangilia tarehe safe na danger ... Maana siku zinabadilika badiika, mara asilate mwez mmoja, mara mwwz huu ni siku mbili the next anapata 5 days.. so vurugu vurugu kupangilia.
Yeah nikweli
 
Sidhan kama p2 inazuia kwa watu wote,mm karibu mara 2 nzima hizo p2 zimeshindwa fanya kaz kabisa

Nilishangaa sn lkn ndo hivo najulishwa mtu ana ujauzito na wote niliwasimamia kunywa dawa hio baada ya mchezo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Habari za mda huu, naamini ni wazima wa afya na kama yupo anaeumwa Mungu atampa nafuu...

So naomba kwa wenye uzoefu wa hizo p2 mnijuze, kuwa ni kweli zinazuia ujauzito?
Emergency pill
 
wanawake wengi hawajui ni vp wanapata ujauzito ndio maana kuja watoto wengi ambao hawakutarajiwa.....hata vp sku mbili baada ya cycle huwez pata ujauzito.
 
P2 Sina uhakika. Mimi najua majivu yakichanganywa na magadi efficiency 99%
Haina madhara!? Je kama unamimba italeta matokeo gani na kama hauna italeta matokeo gan ili ujue imetoka ama hakuna kitu.......na unakunywa mchanganyiko huo wakat gani week ama sku ngap baada ya tukio?
 
Sasa hapa nmepata elim kwenye huu uzi ntakua naita dem SKU mbili baada ya hedhi
Au siku ya 19 tangu aanze hedh kavu kavu tamu jaman [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Mkuu usijipe hope nayo pia inaweza ikanasa sio kila siku itakuwa ijumaa πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nimeuliza majibu niliyopewa sijui kama ni ya kweli au la
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…