LegalGentleman
Member
- Oct 26, 2021
- 99
- 294
Baada ya sintofahamu ya siku chache katika umiliki wa mali zote ambazo zinamilikiwa na tajiri wa Kirusi zilizo nje ya Urusi, tajiri huyu aliamua kwanza kujiweka pembeni kabla ya jana kutangaza kuuza timu iyo ambayo alinunua mnamo mwaka 2003. Mpaka sasa ni matajiri kutoka uswizi ambao wameoneshq nia ya kuinunua klabu iyo. Inauzwa kwa pesa taslimu za kitanzania trilioni 7.1
Katika kipindi chote cha umiliki wake boss huyu wa kirusi alifanikiwa kutwaa mataji 23 uku akiwafukuza makocha 19 walioshindwa kuiongoza timu yake kwa mafanikio. Ata wale walioongoza kwa mafanikio makubwa nao waliondoshwa na boss huyu wa kirusi.
Ni ukweli husiopingika kwa misimu ambayo Roman ameiongoza klabu ya Chelsea hakuna timu zaidi ya Manchester United ambayo imetwaa mataji mengi kuliko Chelsea. Haya ni mafanikio, ukiachana na mauzo ya wachezaji, Gate collection, Mauzo ya jezi, biashara mbalimbali za klabu.
Katika kuliangalia ili upande wa pili bwana Roman sasa anauza timu yake na hatachukua kiasi chochote cha pesa bali pesa zote zitaenda kwa wahanga wa vita (UKRAINE) inayoendelea iliyosababishwa na rafiki yake wa karibu na raisi wa Urusi bwani VLADIMIR PUTIN.
Hii inamanisha nini katika nyanja za siasa? PUTIN kaingia madarakani 2012 mpaka sasa. Katika harakati za kuwa rais nguvu kubwa ya ushawishi ilichangiwa na tajiri huyu wa kirusi bwana Roman. Na Roman amritwa na rafiki ya PUTIN katika kutafuta suluhishi ya amani. Na bwama Roman amekubali wito huu.
Kwa upande wa pili kitendo cha kuachia klabu kuuzwa na kupeleka ela iyo kwa wahanga ni kutengeneza mazingira mazuri na kujisafisha katika kuona kama atakuwa rais wa Urusi.
Katika kipindi chote cha umiliki wake boss huyu wa kirusi alifanikiwa kutwaa mataji 23 uku akiwafukuza makocha 19 walioshindwa kuiongoza timu yake kwa mafanikio. Ata wale walioongoza kwa mafanikio makubwa nao waliondoshwa na boss huyu wa kirusi.
Ni ukweli husiopingika kwa misimu ambayo Roman ameiongoza klabu ya Chelsea hakuna timu zaidi ya Manchester United ambayo imetwaa mataji mengi kuliko Chelsea. Haya ni mafanikio, ukiachana na mauzo ya wachezaji, Gate collection, Mauzo ya jezi, biashara mbalimbali za klabu.
Katika kuliangalia ili upande wa pili bwana Roman sasa anauza timu yake na hatachukua kiasi chochote cha pesa bali pesa zote zitaenda kwa wahanga wa vita (UKRAINE) inayoendelea iliyosababishwa na rafiki yake wa karibu na raisi wa Urusi bwani VLADIMIR PUTIN.
Hii inamanisha nini katika nyanja za siasa? PUTIN kaingia madarakani 2012 mpaka sasa. Katika harakati za kuwa rais nguvu kubwa ya ushawishi ilichangiwa na tajiri huyu wa kirusi bwana Roman. Na Roman amritwa na rafiki ya PUTIN katika kutafuta suluhishi ya amani. Na bwama Roman amekubali wito huu.
Kwa upande wa pili kitendo cha kuachia klabu kuuzwa na kupeleka ela iyo kwa wahanga ni kutengeneza mazingira mazuri na kujisafisha katika kuona kama atakuwa rais wa Urusi.