Huwa sielewi huu msemo kwamba serikali haina dini.
1. Kwenye Ufunguzi wa Vikao vya Bunge kuna dua ya kumuomba Mungu.
2. Kwenye Viapo vya Teuzi za Viongozi wa Serikali humuomba Mwenyezi Mungu awasaidie kutimiza viapo vyao.
3. Wimbo wa Taifa unamuomba Mungu kulibariki taifa.
Au kusema Serikali haina dini ni tofauti na kusema Serikali haiamini uwepo wa Mungu?!
1. Kwenye Ufunguzi wa Vikao vya Bunge kuna dua ya kumuomba Mungu.
2. Kwenye Viapo vya Teuzi za Viongozi wa Serikali humuomba Mwenyezi Mungu awasaidie kutimiza viapo vyao.
3. Wimbo wa Taifa unamuomba Mungu kulibariki taifa.
Au kusema Serikali haina dini ni tofauti na kusema Serikali haiamini uwepo wa Mungu?!