Je, ni kweli Serikali imefuta ada kwa kidato cha tano na sita?

Je, ni kweli Serikali imefuta ada kwa kidato cha tano na sita?

shinji

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2013
Posts
257
Reaction score
174
Heshima kwenu,

Serikali ya awamu ya sita ilitangaza kufuta ada kwa kidato cha 5 na sita kwa shule za serikali ambayo ilikuwa ni shilingi 70,000/=.

Nimepitia fomu za kujiunga na kidato cha 5 mwaka huu 2023. Kuna mchango mpya umeanzishwa unaoitwa mchango wa uendeshaji wa shule kiasi cha shilingi 65,000/=. Hii ni sawa na kisema serikali haijafuta ada bali imeondoa shilingi 5,000/= tu kwa kila mwanafunzi.

Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan hili unalitambua? Waheshimiwa mawaziri wa Elimu na TAMISEMI hili lina baraka zenu?

Semeni ukweli kwa Watanzania.
 
Haani mtanzania wanapenda kulalamika hovyo mwaka mzima ulipie 65,000 kwa form 5 na 6. Unaona kama hiyo ni ada pumbavu.......mawazo ys kimasikini ni yamasikini siku zote.
 
Haani mtanzania wanapenda kulalamika hovyo mwaka mzima ulipie 6500 kwa form 5 na 6. Unaona kama hiyo ni ada pumbavu.......mawazo ys kimasikini ni ysmasikini siku zote.
Shida sio kulalamika, mimi ni miongoni mwa wanataka ada irudishwe ili kuboresha elimu. Hata hivyo na ijulikane wazi kuwa ada haijafutwa ila imebadilishwa jina tu.
 
Shida sio kulalamika, mimi ni miongoni mwa wanataka ada irudishwe ili kuboresha elimu. Hata hivyo na ijulikane wazi kuwa ada haijafutwa ila imebadilishwa jina tu.
Tuongeeni ukweli aisee...Ile 70k haiboreshi chochote kwenye elimu.

Ova
 
Heshima kwenu,

Serikali ya awamu ya sita ilitangaza kufuta ada kwa kidato cha 5 na sita kwa shule za serikali ambayo ilikuwa ni shilingi 70,000/=.

Nimepitia fomu za kujiunga na kidato cha 5 mwaka huu 2023. Kuna mchango mpya umeanzishwa unaoitwa mchango wa uendeshaji wa shule kiasi cha shilingi 65,000/=. Hii ni sawa na kisema serikali haijafuta ada bali imeondoa shilingi 5,000/= tu kwa kila mwanafunzi.

Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan hili unalitambua? Waheshimiwa mawaziri wa Elimu na TAMISEMI hili lina baraka zenu?

Semeni ukweli kwa Watanzania.
Dah
 
Back
Top Bottom