Je ni Kweli serikali imerudisha retention fees ya bodi ya mikopo? Ukweli ni upi?

Je ni Kweli serikali imerudisha retention fees ya bodi ya mikopo? Ukweli ni upi?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Wakati tunaingia mwaka 2022 Serikali ilipunguza mzigo kwà kiasi kikubwa sana wa bodi ya mikopo kwà wanufaika mfano kama mtu alibakiza 4M bàsi deni lilishuka mpaka 2M watu wakapata afueni sana ya maisha na wengi wao kwakuwa walipitia Kwenye tanuru la moto 2015-2020 baada tu ya mama kuondoka retention fees wakienda kukopa bank na kurekebisha maisha yao yaliyopondwapondwa kwà miaka mitano.

Sasa kuna wanaodai retention fees inarudishwa ama imerudishwa na serikali !

SASA swali je ni Kweli? Na kama ni Kweli itawahusu watu gani?

1.New applicants.?
2.Employed ambao wamemaliza deni?
3. Employed ambao hawajamaliza deni?
4. Wote hapo juu including na ambao hawapo Kwenye ajira kwasasa?

Aione mpwayungu village kwà ufafanuzi.
 
Nashangaa Uzi kama huu kukosa wachangiaji wakati waathirika wa jambo hili ni maelfu kwa maelfu mpaka nikadhani mods wameufuta huu Uzi. Swali ni rahisi je retention fee imerudi?
 
Back
Top Bottom