JET SALLI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,392
- 1,578
Watu wengi sasa wameona na wametofautisha ni wakati gani kati ya awamu hii na ile iliyopita ya KIKWETE ni wakati gani umasikini umekolea vzr na majibu yako wazi na yanajulikana wala hayahitaji mtu apewe michoro ili aelewe vzr.
Serikali ya awamu ya tano ilijinasibu,na imeendelea kujinasibu kuwa ni serikali ya wanyonge,swali linauliza, hivi ni kweli hii ni serikali ya wanyonge na hapo ndipo utajua kwamba kuongea ni rahisi sana ili utekelezaji ni jambo gumu sana hasa kwa CCM hii tuliyonayo,hebu angalia magari anayoyatumia Rais Magufuli kwenye kampeni zake karibia gari nyingi ni V8 ambazo gharama zake zinakaribia milioni 400 kwa kila gari moja hiyo ndio serikali ya wanyonge na huyo ndio kiongozi wa wanyonge.Nimeamini sasa kwa nini YESU aliwaasa na Aliwahimiza wanafunzi wake wajitenge na UNAFIKI.
Tulipotoka awamu ya NNE tulikuwa tumeanza kwenda vzr wala hakukuwa na sababu ya kurudi nyuma,Leo baadhi ya watanzania wanashabikia serikali kununua Ndege sijui kama ni akili nijuavyo mm au ni UNAFIKI TU watu hawataki kusema ukweli hasa katika wakati huu wa ulimwengu wa utandawazi.Huwezi kung'ang'ania kununua ndege za watu wachache ukasahau huduma kwa mamilioni ya watu.
Unaposema unasimama na WANYONGE NA MASIKINI UNATAKIWA UWEKE UNAFIKI PEMBENI na kauli yako ikisema hiki ni kikombe na iwe hivyo na isiwe unamaanisha kwamba ni bakuli.
FUNZO hili liwe ni kwa vyama vyote na si kwa CCM pekee.ULEVI NI KITU HATARI sana mlevi sikuzote halei familia hata kidogo ss wote tunaelewa.ULEVI WA MADARAKA ni MBAYA ZAIDI kwa sababu unaweza kulitumbukiza Taifa ktk matatizo makubwa.Kutotenda HAKI NI KUBAYA ZAIDI KWA SABABU kunajaza hasira ktk mioyo ya watu na mlipuko wake nadhani hakuna BOMU linaloweza kufanana nao.
Nawashangaa sana VIONGOZI wa dini wanaozungumzia AMANI TU SIJUI KAMA WANAELEWA VZR.Nadhani wana uelewa finyu kwamba ETI amani IPO na haibebwi na kitu chochote.
TUKUMBUKE AMANI ni tunda la HAKI,Kwa maana ya kwamba MTI NI HAKI NA MATUNDA YAKE NI AMANI,JE UKIUKATA MTI UNAWEZAJE KUSUBIRI MATUNDA?WATANZANIA HAWAHITAJI VIONGOZI WASIOJUA WANAONGEA NN.
Serikali ya awamu ya tano ilijinasibu,na imeendelea kujinasibu kuwa ni serikali ya wanyonge,swali linauliza, hivi ni kweli hii ni serikali ya wanyonge na hapo ndipo utajua kwamba kuongea ni rahisi sana ili utekelezaji ni jambo gumu sana hasa kwa CCM hii tuliyonayo,hebu angalia magari anayoyatumia Rais Magufuli kwenye kampeni zake karibia gari nyingi ni V8 ambazo gharama zake zinakaribia milioni 400 kwa kila gari moja hiyo ndio serikali ya wanyonge na huyo ndio kiongozi wa wanyonge.Nimeamini sasa kwa nini YESU aliwaasa na Aliwahimiza wanafunzi wake wajitenge na UNAFIKI.
Tulipotoka awamu ya NNE tulikuwa tumeanza kwenda vzr wala hakukuwa na sababu ya kurudi nyuma,Leo baadhi ya watanzania wanashabikia serikali kununua Ndege sijui kama ni akili nijuavyo mm au ni UNAFIKI TU watu hawataki kusema ukweli hasa katika wakati huu wa ulimwengu wa utandawazi.Huwezi kung'ang'ania kununua ndege za watu wachache ukasahau huduma kwa mamilioni ya watu.
Unaposema unasimama na WANYONGE NA MASIKINI UNATAKIWA UWEKE UNAFIKI PEMBENI na kauli yako ikisema hiki ni kikombe na iwe hivyo na isiwe unamaanisha kwamba ni bakuli.
FUNZO hili liwe ni kwa vyama vyote na si kwa CCM pekee.ULEVI NI KITU HATARI sana mlevi sikuzote halei familia hata kidogo ss wote tunaelewa.ULEVI WA MADARAKA ni MBAYA ZAIDI kwa sababu unaweza kulitumbukiza Taifa ktk matatizo makubwa.Kutotenda HAKI NI KUBAYA ZAIDI KWA SABABU kunajaza hasira ktk mioyo ya watu na mlipuko wake nadhani hakuna BOMU linaloweza kufanana nao.
Nawashangaa sana VIONGOZI wa dini wanaozungumzia AMANI TU SIJUI KAMA WANAELEWA VZR.Nadhani wana uelewa finyu kwamba ETI amani IPO na haibebwi na kitu chochote.
TUKUMBUKE AMANI ni tunda la HAKI,Kwa maana ya kwamba MTI NI HAKI NA MATUNDA YAKE NI AMANI,JE UKIUKATA MTI UNAWEZAJE KUSUBIRI MATUNDA?WATANZANIA HAWAHITAJI VIONGOZI WASIOJUA WANAONGEA NN.