SanaaaaaaaaNi kweli ndio mashabiki wa simba tupo wengi sana
This is simbaaaaaa
Tuma salamu kwa watu watatuManara anawadanganya Mbumbumbu wenzake...Yanga miaka mitatu bingwa hamasa lazima ishuke...msimu ujao utaona hamasa inarudi wanataka kombe lao..Tetesi JK anachukua fomu za uenyekiti Yanga..Dangote (mwenyewe sio mondi)anakuja kuwekeza 100B si unajuwa JK na Dangote ni family friends..Yanga itapaa level za kina Al Ahly,Zamalek,Orlando Pirates,TP Mazembe etc Mbumbumbu FC jiandaeni kisaikolojia
Hizo ni porojo za Haji Manara kwamba Simba ina mashabiki wengi zaidi.Tumejionea wenyewe mechi za hivi karibuni kati ya Simba na Yanga, Washabiki Simba wanakuwa zaidi ya mara mbili ya wale wa Yanga wanao ingia Uwanjani, Takwimu Za TFF zinaonyesha VPL 2018 Simba inaongoza kwa mapato ikiwa imeiacha mbali Yanga, Mauzo ya jezi ya wachezaji wa simba ni makubwa kuliko ukijumlisha mauzo ya jezi kwa timu zote zinazoshiriki VPL mwaka huu, na hata Mohamed Dewji alisema hadharani kwa utafiti aliofanya, Simba ni brand kubwa kuliko zote Tanzania.
Kwa miaka mingi tumekuwa tukiaminishwa kuwa Yanga ina wapenzi wengi zaidi ya simba, Je ni kweli kwamba Simba sasa imeipiku Yanga, nini sababu za kuipiku Yanga, au tulikuwa tunaaminishwa uongo?
Hizo sampuli zako zinakudanganya! Ya nini tuandikie mate na wino upo? Mods hebu tutengenezeeni thread ya kupiga kura hapa tuoni ipi ina mashabiki wengi hata hapa jf tu!!Ukizaliwa Tanzania ukafahahamu kwamba kuna kitu kinaitwa mpira, automatically wewe ni Simba au Yanga. Kwa Tanzania sasa hivi simba ina fans wengi, hata ukisample kwenye group la watu, utakuta wengi ni Simba